Dizasta Vina a.k.a Maradona

Mkuu boshoo sio msanii mbovu wakumuweka kwenye rank za kina lunya

Huyu ni zao la Tamaduni, tamaduni haijawahi toa kitu kibovu hata siku moja

Boshoo ni msanii mzuri na amefanya poa sana kwenye tracks zake za mwanzo na hizi za mwishoni mwishoni baadhi

Kinachokuja kumtofautisha na zamani ni jinsi anavyo fanya mziki kwa kuangalia soko la sasa linatakaje.

Dogo ni story teller mzuri kuna ngoma yake moja (nimeisahau jina nitaiweka hapa nikiikumbuka) kachana vizuri sana mle

"Walete" aliyomshirikisha na Dizasta umeisikia?

Baadhi ua lines kwenye ngoma yake ya "Nilipotoka"

Natoka kwenye kona za mateja kujidunga, wale walotoka jela kujifunza.../

Napotoka mimi shujaa ni mama muuza, anaye somesha watoto huku polisi wanambugudha.../
 

Nmekuelewa mambo ni mengi muda hautoshi[emoji28][emoji119]

Tumalize utata we unazani nani aachiwe kijiti cha hiphop
 
Hii ndio album yangu pendwa ya Fid Q,
 
Hatusemei ngoma zilizohit top ten na kusumbua. Tunazungumzia puchline yaani mistari ya akili. Ya kufikirisha. Ukiona ngoma imebamba sana, yaani imwhit jua kuna. Mashairi yake mepesi yanaeleweka kirahisi au yana beat la kuvibe. Dizasta Album zake zote mbili haziko hivyo, ndiyo maana hajahit kwenye hizo top ten.

Na kama nyimbo kali za Dizasta unaona ni Shahidi na Kanisa basi hujamsikiliza, umemsikiliza kimeinstream. Hizo ndizo wengi wanazizungumzia. Nyimbo za Dizasta zinatisha. Ile Ndoa ndoano huwezi sikiliza na mkeo. Hatia II huwezi sikiliza na manzi wako. Sikiliza Kikaoni anavyoomba kuuliwa. Sikiliza Yuleyule, sikiliza Harder. Siwezi elezea zote, kila wimbo wake unafikirisha.

Na hajamdiss mtu. Kamuelekeza tu. Ukitaka kuona jamaa akichafukwa anakuwaje kasikilize No body is Safe 2. Fid q ni legend, lakini tunapokuja kwenye mistari ya kufikirisha, yaani mizito. Hamgusi Dizasta.
 
Hatari mwannagu mi nilikua napenda verse ya Langa japokua wote waliua Sana...
1. Fid Q "mi kujiita Rasta wenye chuki eti wanapinga.. wanashangaa nakula nyama hawajui nyota yangu Ni ya Simba".. [emoji16]
2. Professor Jay " nilichuna wakati wa kwenda Ila Sasa narudi nikanyage bahati mbaya nikulipue makusudi" [emoji28]

3. Kwa heshima ya Langa ntaandika verse nzima...
natumia akili ustaarabu na subira,
situmii nguvu jaziba na hasira,
mapinduzi daima msimamo ka Che Guevara,
usingizi ndugu yake kifo sipendi kulala,
nafata mipango yangu sifati mipango ya wengine Niko focused hata ilibidi vingine nijinyime,
wote tukiwa masikini Nani atamsaidia mwenzake,
acheni niwini majungu msinipake,
wanasema nime-change eti so Mimi wa zamani,
sionekani maskani kwa darubini Wala miwani,
lawama kibao utazani mahakamani,
mi nisipohangaika atakaenilisha Nani?
wanichekea usoni kisogoni wananisema,
wanatafuta mabaya wanajifanya wahaoni mema,
kisichoniua kitanikomaza kiaskari,
unavonichukia unadhihirisha mi mkali,
Sina haja ya kurudia Fid Alisha waambia,
u-superstar ! mzigo wa mwiba ukiubeba unaumia.." da noma [emoji16]
RIP Lyrical And Natural Gifted Artist LANGA [emoji22]
 
Noma sana hio ngoma mkuu,
 

P.mawenge best story telling songs kwangu ni
-mama mjane
-baba msaliti
-afande msela
-Huna jipya
-Binti

Kuna nyingine alimuimbia msela wake alifariki nmeisahau jina.Naheshimu sana uwezo wake pia[emoji441]🫡
 
Mkuu Dizasta, Kadgo, Ghetto, Boshoo, Kinya, Nala nk. yani hao wote niliokutajia wote ni products ya tamaduni

Tamaduni imezalisha wasanii wengi sana na wengine hata hawajulikani ila hakujawahi kuwa na msanii mbovu kwenye hilo kundi.

Bando Mc ni huyu ni msanii wa Stamina na sijawahi kumuelewa uchanaji wake

Huyu na Nacha mara nyingi nawaona ni watu ambao wanafanya plagiarism kwa kumuiga Songa aina yake ya uchanaji

Songa ana aina yake ya upekee ya uchanaji kwa kucheza na maneno ambayo yanafikirisha sana.

"Hii ndio new carrier, Songa ni mkubwa akisimama hakuna wa kuukalia

"Hakuna wa kusalia, duniani hakufai ndio maana ukizaliwa tu unalia"

Sasa kina Nacha wakiimba wanakosa ubunifu wa kuifanya verse ilete maana zaidi zaidi inaonekana ameifanya tu ili kutafuta vina

Halafu kingine ukisema Fid Q hata mimi binafsi nishabiki wake, ila Fid Q naye mkubali mimi kuanzia yule Fid Q aliyetoa ngoma ya Sumu kushuka miaka ya chini

Lakini huku kwa kina Christian Bella na Fresh aliyopiga na WCB pale nimemvua vyeo though he's my GOAT

Young Lunya mara nyingi namskia humu JF na mtaani kwenye saluni zenye kelele kelele

Huyu nilishawahi kusema ni mpayukaji hajui kuchana watu wakawa wanataka kumfananisha na P Mawenge kiuwezo

Nikawaambia kipimo kiwe ngoma ambayo kila mmoja amewahi kuifanya

Ambapo ni ile Yes Bana challenge ambayo P aliifanya na huyo Lunya naye aliifanya

Ukiisikilza yes bana ya P utaona hata Khali graph hakuitendea haki nyimbo yake

Ukimsikiza Lunya utaona ni msanii ambaye yupo tayati kuimba chochote ili mradi tu mwishoni amalize na kina ambacho alianza nacho

Na pamoja na hilo bado kuna verse hazikuwa na vina, lakini cheki za P kila angle ameua.
 

Ni kweli P.mawenge ni mada ya siku nyingne[emoji850]

Katika list yako hawa new generation product ya tamaduni bahati nzuuri nmefatilia wote from the scratch

Wote wana aina yao tofauti ya uchanajibna uandishi

Mfano Kadgo na boshoo naweza sema ndo wakali wa freestyle kwa sasa yaani man to man madogo wako vizuri

Lakini the black maradona anabaki kuwa Lyricist bora!
 
Da mwamba Sina la kuongeza ndo maana nikasema baada ya Tamaduni hamna Tena wengine... Sema boshoo sizani Kama n mmoja wa Tamaduni labda Kama amekuja baadae maana enzi zile za kina getto ambassador... Boshoo sijui Kama Alikua kamaliza shule...
All in all umetisha Sana Fid wa sumu kurudi chini Alikua mnyama Sana sema hizi kina freshi Ni za kujitafutia tu mafao Ni Kama CR 7 kule saudia... [emoji28]

Yap duniani hakufai ndo maana ukizaliwa tu unalia....
Hii ndo ngoma ya Songa nayoipenda zaidi akiwa na Dado Hisia za moyoni......
 
Kwanza nimefurahi sana kuona kwa hili wazo lako la kumwanzishia Uzi huyu mwamba

Nilikuwa naomba Kama ikiwezekana updates zote za dizasta tuzikute hapaaa

Huyu jamaa ni genius, mchafu, hafai, anatisha, anafikilisha, anafurahisha, anaelimisha he's a full package

Mdogo wenu raptcha nadhani hata hajatoka matanga uko[emoji23][emoji23]
 
P.mawenge best story telling songs kwangu ni
-mama mjane
-baba msaliti
-afande msela
-Huna jipya
-Binti

Kuna nyingine alimuimbia msela wake alifariki nmeisahau jina.Naheshimu sana uwezo wake pia[emoji441]🫡
Io ngoma aliyo muimbiaa mshikaji wake ukiikumbuka weka hapa, maana kuna goma lake nalitafuta sana sema sijui linaitwaje ila ina kisa cha namna io.

Sent from my CPH1989 using JamiiForums mobile app
 
Sawa Fid apewe heshima yake sema mahaba kwa mwamba yamezidi sana mpaka unaharibu.


1. Fid Q "mi kujiita Rasta wenye chuki eti wanapinga.. wanashangaa nakula nyama hawajui nyota yangu Ni ya Simba"

Sent from my CPH1989 using JamiiForums mobile app[/URL
 
nakubaliana na wewe, kifupi P anayo ladha ya kisanii. Ukiona unasikiliza nyimbo then hauwezi hata kunesa nesa jua hamna kitu hapo.

Sikiliza nyimbo kama Hunajipya ya P, japo ni storytelling ila uta nesa tu. Sasa Dizasta yeye anafanya mahubiri kama mziki haburudishi kabisa wakati lengo la kwanza la mziki ni kuburudisha.

Bado ana safari ndefu akitaka kufika mbali
 

Top Searched Artist No.10 [emoji91][emoji91]


“Mwanza na Dodoma Zinasikika singo napo-dribble mtaani wananiita black Maradona.

I am ready I was ready I've born ready men/

Choose beautiful start or choose scary end/

Ka' ulisikia mi sifai hii ni evidence/
Kibaha maili noja mi' ni eight miles Eminem”
 
Salamu wana sio kwema nilikotoka,/

Ninatema ngumu mpaka sio vyema kuokota,/

Nikitema nawa...kosha,

Wanatamani niwe nabii sema suna wema wa kutosha,

Round kwenye jiji nasign madeal wima,

Matatizo kibao na bado still nina
Punchlines na flows ma-style ma-skill ting'a,

Sipo chimbo nipo period nableed vina..

Nobody is Safe 2
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…