calculator
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 279
- 137
- Thread starter
- #41
Earthmover na wewe toka ulipofumaniwa pale Ziga.. umekimbilia wp?? Hatukuoni tena mtaani. Rudi umpiganie jamaa ako ngowi. Safari hii kapwaya
Last edited by a moderator:
Wana wa Kimandolu na JF kwa ujumla, Salaam.
Ama baada ya salaam naomba nijikite moja kwa moja kwa hoja yangu.
Diwani wa Kata ya Kimandolu (CHADEMA) Bw. Ngowi amekuwa kero na hakika tunajutia maamuzi yetu kumchagua mwaka juzi. Ana mihemko na anadaiwa madeni kila kona ya Kata. Amefikia mahali anamkashifu hadharani Mwenyekiti wetu wa chama wa Kata.
Amejijengea maadui wengi na wananchi wanamuona kama ni mjasiriamali wa siasa aliyekuja kwa siasa kwa maslahi yake binafsi.
Sisi wana wa Kimandolu tunakupa ujumbe huu kuwa safari yako ya kisiasa inaishia October hii. Rudi tu ukachunge kondoo wa bwana pale mlimani kwako.
Nawasilisha
Huna hoja kudaiwa siyo dhambi,vyema ungeandika huwa halipi madeni
Wana wa Kimandolu na JF kwa ujumla, Salaam.
Ama baada ya salaam naomba nijikite moja kwa moja kwa hoja yangu.
Diwani wa Kata ya Kimandolu (CHADEMA) Bw. Ngowi amekuwa kero na hakika tunajutia maamuzi yetu kumchagua mwaka juzi. Ana mihemko na anadaiwa madeni kila kona ya Kata. Amefikia mahali anamkashifu hadharani Mwenyekiti wetu wa chama wa Kata.
Amejijengea maadui wengi na wananchi wanamuona kama ni mjasiriamali wa siasa aliyekuja kwa siasa kwa maslahi yake binafsi.
Sisi wana wa Kimandolu tunakupa ujumbe huu kuwa safari yako ya kisiasa inaishia October hii. Rudi tu ukachunge kondoo wa bwana pale mlimani kwako.
Nawasilisha
Wana wa Kimandolu na JF kwa ujumla, Salaam.
Ama baada ya salaam naomba nijikite moja kwa moja kwa hoja yangu.
Diwani wa Kata ya Kimandolu (CHADEMA) Bw. Ngowi amekuwa kero na hakika tunajutia maamuzi yetu kumchagua mwaka juzi. Ana mihemko na anadaiwa madeni kila kona ya Kata. Amefikia mahali anamkashifu hadharani Mwenyekiti wetu wa chama wa Kata.
Amejijengea maadui wengi na wananchi wanamuona kama ni mjasiriamali wa siasa aliyekuja kwa siasa kwa maslahi yake binafsi.
Sisi wana wa Kimandolu tunakupa ujumbe huu kuwa safari yako ya kisiasa inaishia October hii. Rudi tu ukachunge kondoo wa bwana pale mlimani kwako.
Nawasilisha
Mungi na DALLAI LAMA...
Naheshimu mawazo yenu. Mim sio mtia nia na wala sio gamba pia. ni mkazi wa kata hii na namjua vzr huyu diwani. msijitoe ufahamu.. tembeeni kuanzia kijenge chini mpk juu.. ulizeni wapiga kura khs huyu mtu.. ni aibu. anawashambulia watia nia wenzake kama vile yeye ana hati miliki ya udiwani. Hatoshi.. hatutampa kura.. tumeazimia.. tutawapima kwa vigezo mujarabu.
Wewe acha kimbelembele Ngowi ni jembe acha uwongo na anakubalika na wananchi wote hana mpinzani kuanzia kule kwa kundayo, juu ya lami kimandolu, kimandolu yote, kijenge juu - chini, mwanama, suye na maeneo yote ya kata ya kimandolu wanamuelewa Ngowi.Wana wa Kimandolu na JF kwa ujumla, Salaam.
Ama baada ya salaam naomba nijikite moja kwa moja kwa hoja yangu.
Diwani wa Kata ya Kimandolu (CHADEMA) Bw. Ngowi amekuwa kero na hakika tunajutia maamuzi yetu kumchagua mwaka juzi. Ana mihemko na anadaiwa madeni kila kona ya Kata. Amefikia mahali anamkashifu hadharani Mwenyekiti wetu wa chama wa Kata.
Amejijengea maadui wengi na wananchi wanamuona kama ni mjasiriamali wa siasa aliyekuja kwa siasa kwa maslahi yake binafsi.
Sisi wana wa Kimandolu tunakupa ujumbe huu kuwa safari yako ya kisiasa inaishia October hii. Rudi tu ukachunge kondoo wa bwana pale mlimani kwako.
Nawasilisha
Mungi na DALLAI LAMA...
Naheshimu mawazo yenu. Mim sio mtia nia na wala sio gamba pia. ni mkazi wa kata hii na namjua vzr huyu diwani. msijitoe ufahamu.. tembeeni kuanzia kijenge chini mpk juu.. ulizeni wapiga kura khs huyu mtu.. ni aibu. anawashambulia watia nia wenzake kama vile yeye ana hati miliki ya udiwani. Hatoshi.. hatutampa kura.. tumeazimia.. tutawapima kwa vigezo mujarabu.
Ziga si Bar ya Eddy hivi pale penyewe kuna wateja kweli sababu amezungukwa na makamanda matangazo ya CHADEMA yalikuwa yanabandikwa mpaka kwenye counter ya Eddy diwani wa CCM naye anavumilia sababu anajua amezungukwa.Earthmover na wewe toka ulipofumaniwa pale Ziga.. umekimbilia wp?? Hatukuoni tena mtaani. Rudi umpiganie jamaa ako ngowi. Safari hii kapwaya
999 umepotelea wp? umepata hbr za mtia nia wako Ngowi? Jana katia aibu kw kikao.. aibuuuu
Ngowi amekuwa kero na hakika tunajutia maamuzi yetu kumchagua mwaka juzi. Ana mihemko na anadaiwa madeni kila kona ya Kata. Amefikia mahali anamkashifu hadharani Mwenyekiti wetu wa chama wa Kata.