Mungi umempa calculator kitu chenye ncha kali akakalia mazima.
calculator Usiwe unakuja hapa kipumbavu
calculator Usiwe unakuja hapa kipumbavu
Last edited by a moderator:
Mungi umempa calculator kitu chenye ncha kali akakalia mazima.
calculator Usiwe unakuja hapa kipumbavu
Wewe ni kada wa CCM, kwa kazi nzuri iliyotukuka ya Mch. Ngowi lazima ujutie kwanini upo CCM, heri ungekuwa CHADEMA ili usiumie maini...... Tuliwapiga kwenye uchaguzi mpaka Mwigulu akakosa njia, mara ya mwisho kabla matokeo hayajatangazwa tukasikia Mwigulu ameonekana KIA. Kata ya Kimandolu hata kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa hakuna hata mtaa moja ulioenda CCM, Mitaa yote CHADEMA walichukua, kazi nzuri ya Mch. Ngowi.
Post zinazodhihirisha wewe ni gamba hizi hapa na umemfuatilia Mch. Ngowi tokea 2013 kabla ya uchaguzi wa kata nne:
Mgombea udiwan wa CHADEMA kata ya Kimandolu
Hii hapa ya 2012:
CHADEMA Arusha wameanza kutoa mapovu
Post hizo hapo juu ni dhahiri upo Lumumba, na kwamba huna la kujutia kwakuwa kura yako hukumpigia Ngowi. Kengenyau wewe!
...Mkuu hiyo kitu kikokotozi ni maharage ya mbeya
So wewe unamkampenia nani hapo?
Ni ile ke ya pale club afriko, lastime ilipigwa chini mbaya na huyu Ngowi sasà naona bado inachechetuka ikisikia uchaguzi umekaribia
Yeyote kati yao ila sio Ngowi.. jamaa ni mpigaji, hana tena sifa ya kuwa diwani wetu. Nimepata hbr leo Alhamis tar 16 Julai wana kikao pale ofisi ya chadema kata ya kimandolu. tutakuja kumpa makavu yake laivu..
Wewe nakamilisha uchunguz flan khs hiyo kaz yako unayofanya. Ntakuanika hapa kabla ya jmosi na hutaamini. Usijitoe ufahamu kwa kujificha na ID za JF
Makavu yapi?
Mpigaji wa nini?
Unamdai, alikuibia au ?
Weka kila kitu hapa unachotaka kusema kuhusu huyo ngowi tukuelewe otherwise wewe ni mmojawapo wa watia nia sasà unaanza kumchafua huyu bwana kiaina.
Ushauri wa bure: Ukiwa gamba usipoteze muda Chuga.
Wee tuliza kalio sindano isivunjikie.. nimekwambia diwani wako hatoshi tena. Kama ww ni mfuatiliaji wa siasa za kimandolu utakuwa unaelewa hbr za huyu jamaa yako. Njoo kw kikao leo uskie vioja vyake..
Hatoshi kwa vipi?
Fafanua tafadhali otherwise hayo mambo ya kikao unayoniambia sijui unataka nije nikuone ulivyomfungia Ngowi kibwebwe?
Njoo pentagon saa kumi nikutulize kidogo coz naona una hasira sana
999 Hivi kwanza umeshamaliza noma yako na tanesco??
Dogo usijenifananisha na watu wa mtaani kwako ukaanza kuwachukia bure.
Ukianza kunitafuta jf hutakaa unijue.
Rudi kwenye mada otherwise baadae Tanzanite nikupe supu ya mkia
Mkuu usipoteze muda wako hili lipumbavu halielewi
Ni ile ke ya pale club afriko, lastime ilipigwa chini mbaya na huyu Ngowi sasà naona bado inachechetuka ikisikia uchaguzi umekaribia
Ulilivua nguo hadharani sasà linakimbia uchi kwa aibu nimelikwepa lkn halisikii.