Mkuu labda kachoka agenda ya chama ya kutofanya shughuli za maendeleo ili serikali ionekane haijafanya kitu akibadilika na kuchapa kazi tutampa sifa zakeProgrammer95 aka masenu k msuya.
Mleta mada ni mpumbavu na mvivu wa kufikiri kwa sababu hajui kuwa huyu diwani ana mpango wa kumuunga mkono rais.
Na sote tunajua wanaomuunga mkono rais ni wachapakazi
Diwani wa Sinza anafanya kazi nzuri tu. Mimi ni mpiga kura wake; na mkazi wa sinza c kwa miaka zaidi ya 10.Mkuu huwezi kumjua maana tangu alipochaguliwa hajawahi kuonekana wala kuitisha mkutano
Kagoma kununulika ndo mana wameamua kutumia plan BMnunueni
Ameleta uzi huu hapa, unasemaje, NduguWewe umefanya nini cha maana tuanzie hapo kwanza
Yule m'bunge wao naskia ni tiamajitiamajiWakimnunua watamsimamisha agombee tena na huyu aliyeleta huu uzi atampigia kampeni!

Diwani mchapakazi wapi kafanya ufisadi mkubwa kwenye pesa ya mtaro palestinaWewe unaishi sinza ya kakonko au ya kibara bunda?
Mbona wakazi wa sinza tupo poa tu na diwani wetu mchapakazi?
badala ya kueleza nini mnataka unaaza uccm vs uchadema.Habari wakuu
Wakazi wa sinza wanajuta na kujilaumu kwa kushabikia mabadiliko bila kujua mabadiliko gani wanayoyataka.Pia wanajuta kwa kumchagua diwani mzigo na muhuni wa chadema kwani tangu kuchafuliwa kwake hajawahi kuonekana wala kujihusisha na shughuli yoyote ya maendeleo wala kufanya kikao chochote na wananchi wala kutatua kero yoyote ya wananchi.
Kama chadema kata tu inawashinda kuendesha je mkikabidhiwa nchi itakuwaje kweli nimeamini maneno ya mwalimu kuwa ikulu ni mahala patakatifu sio mahala pa walanguzi hivyo cdm msipobadilika ikulu mtaisikia kwenye taarifa ya habari
Diwani Jipu KATA imemshinda sasa anaishi MBEZI MWISHO ....Habari wakuu
Wakazi wa sinza wanajuta na kujilaumu kwa kushabikia mabadiliko bila kujua mabadiliko gani wanayoyataka.Pia wanajuta kwa kumchagua diwani mzigo na muhuni wa chadema kwani tangu kuchafuliwa kwake hajawahi kuonekana wala kujihusisha na shughuli yoyote ya maendeleo wala kufanya kikao chochote na wananchi wala kutatua kero yoyote ya wananchi.
Kama chadema kata tu inawashinda kuendesha je mkikabidhiwa nchi itakuwaje kweli nimeamini maneno ya mwalimu kuwa ikulu ni mahala patakatifu sio mahala pa walanguzi hivyo cdm msipobadilika ikulu mtaisikia kwenye taarifa ya habari