Habari wakuu
Wakazi wa sinza wanajuta na kujilaumu kwa kushabikia mabadiliko bila kujua mabadiliko gani wanayoyataka.Pia wanajuta kwa kumchagua diwani mzigo na muhuni wa chadema kwani tangu kuchafuliwa kwake hajawahi kuonekana wala kujihusisha na shughuli yoyote ya maendeleo wala kufanya kikao chochote na wananchi wala kutatua kero yoyote ya wananchi.
Kama chadema kata tu inawashinda kuendesha je mkikabidhiwa nchi itakuwaje kweli nimeamini maneno ya mwalimu kuwa ikulu ni mahala patakatifu sio mahala pa walanguzi hivyo cdm msipobadilika ikulu mtaisikia kwenye taarifa ya habari
Atavumiliwa hivyo hivyo. Mzigo mingine ni mizuri kuibeba