Diwani wa CHADEMA atupwa jela

Diwani wa kata ya Makanyagio mjini mpanda kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) , Idd nziguye amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela baada ya kupatikana na kosa la kukaidi amri ya Serikali. Nzuguye alishtakiwa kwa kosa la kukaidi amri ya Serikali iliyokuwa ikiwataka wafanyabiashara wadogo kuhama katika eneo lisiloruhusiwa kufanya biashara katika mpango wa mji.
Kawaambie viongozi wako kwamba Kuwa huru huku unanyanyaswa na kuona watu waliokucagua wananyanyaswa ni uhuru fake.


Haya, chapa lapa...........msalimie MS
 
Vugu vugu la mapinduzi huanza taaratibu!

Na hii ni dalili kuanguka kwa utawala. Ukiona watu wanaanza kutumia mabavu ujue hoja si fani yao na katika siasa bila hoja ni sawa na political dead body. Kutumia bunduki kuulia inzi just because unayo hakukufanyi wewe kuonekana shujaa bali unaonekana Idiot, Nincompoop and Scallywag

Tusipokuwa makini katika kupata Katiba Mpya kutoka kwa wananchi ni dhahiri kutoka utawala wa Ki-autocratic we are now moving into remote-dictatorship, Ruler tells judicial system secretly to punish the oponents heavily while the bucks of punishment remain with puppets judges.
 
Mwisho wa kila kitu una dalili zake! Ukishaona serikali iliyoko madarakani inaanza kutumia vyombo vya dola kutoa vitisho,,kupiga,kunyanyasa na kuua raia ndani ya nchi yao ujue kinachofuata ni anguko kuu la serikali hiyo.Serikali ya CCM haina mda mrefu ITAANGUKA
 
Diwani wa kata ya Makanyagio mjini mpanda kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) , Idd nziguye amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela baada ya kupatikana na kosa la kukaidi amri ya Serikali. Nzuguye alishtakiwa kwa kosa la kukaidi amri ya Serikali iliyokuwa ikiwataka wafanyabiashara wadogo kuhama katika eneo lisilor
uhusiwa kufanya biashara katika mpango wa mji.

Waendelee tu kujaza maji ktk gunia,hapo wanajenga au wanabomoa kwa kuegenea upande mmoja tu!!!??????
 
Na vipi wale wa EPA na wa pembe za ndovu za Zanzibar (sijui Zanzibar kuna ndovu wangapi) na wanaotulaza gizani kila siku na walioua Nyamongo, na wanaoendelea kuua raia wasio na hatia hawa wote wakichukuliwa hatua kama huyu diwani mkorofi basi magereza yatakuwa hayatoshi!
 
--In Nigeria there are two industries. 'the petroleum industry and the 'religion industry', the rich and the poor respectivelly. In between there grew a new enterprise... 'the kidnapping industry'
--A day is coming when in NEITHER THE RICH nor THE DESTITUTE will be peaceful in Tanzania!
 
Back
Top Bottom