usininukuu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2011
- 380
- 44
NAMUOMBA MUNGU AMUWEKE MAHALI PANAPOMSITAHIRI. Pengo lake linazibika.
Acha kutumia masaburi, kwahiyo wewe unampangia Mungu kuvuna maua shambani mwake. Cheki hapo pekundu
si vizuri kuwaombea binadamu wenzenu vifo kwani eti kwasbb ni wamagamba, kumbukeni wana wake/waume na watoto ambao ni malaika na si magamba wanabaki yatima. R.I.P
R.I.P. Diwani, umetupatia nafasi ya kumtafuta Comrade kutoka Peoples Power.
NAMUOMBA MUNGU AMUWEKE MAHALI PANAPOMSITAHIRI. Pengo lake linazibika.
Natamani gamba kuu nalo lidedi hata leo tupange safu mpya mkuu wanajaza nafasi tuu
bora list za magamba zipungue R.I.P Gamba
R.I.P. Diwani, umetupatia nafasi ya kumtafuta Comrade kutoka Peoples Power.