Mtende
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 6,385
- 7,335
Kwa hiyo alijiua baada ya kuona hawezi kumuambikiza mkewe?Au aliamua kujiua sababu alijikuta amekosa mahali pakulelewa akishaanza kuwa hoi?
huyu mzee dhambi nyingine iliyomtafuna kwa muda mrefu ni kwamba alikua anatembea na binti yake wa kumzaa,alimzaa huyo binti nje ya ndoa,sasa kitendo cha yeye kuwa na mahusiano ya kimapenzi na huyo binti kilipelekea mke wa ndoa na watoto kumtenga na kumuachia nyumba,alikanywa na wazee,ukoo,ndugu ila hakusikia,sasa ule upweke,mawazo,ugonjwa nadhani vitakua vimechangia kwa kiasi kikubwa yeye kujiua