Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,149
Diwani wa kata ya Maili moja jimbo la Kibaha mjini, amewekwa ndani na kuhukumiwa kifungo cha mwaka mmoja na faini ya sh 50,000, kwa kushindwa kulipa kodi ya majengo ya sh 350,000 kwa halmashauri ya mji wa Kibaha mkoa wa Pwani.................................
More info ; mwananchi pg 11.
More info ; mwananchi pg 11.