Tabia ya huu ugonjwa, ukiwa chadema huwa hauonekani. Ukijiudhuru na kuhamia chama kingine unaanza kuonekanaMbona mgonjwa..!?
Yeah ameachana na Utapeli wa CHADEMAKumbe huyu jamaa amehamia CCM? Nlikuwa sifahamu.
Akifanya niniDah!!! huyu jamaa aliyekuwa halali siku zote ni kukesha pale Mwenge sekondary Singida kashaingia kwenye siasa?
KusomaAkifanya nini
Dhulma haiwezi kuhalalishwa kwa chochote.Yeye ndo hana sifa aliogopa kushindana na wenye sifa ikabidi waenguliwe.Hizo sifa gani za ajabu watu wawe nazo 2015 leo 2018 wazikose?Najua lengo ni watu fulani wanalazimishwa wachukue maamuzi magumu ili kupata kisingizio cha kufutwa baadhi ya vyama vya ukweli.Pongezi KUBWA kwakoo MKUU
Nimekuwa nikiamini na kukuamini popote ulipo
Pongeezi KUBWA wananchi wa kimara wanaaoenda kufaidika na matunda ya Mh Manota
KWA level yake najua WENGINE WAsingekuwa na sifa hatakidogooo kupambana nae
Huwa anasisitiza hayuko.zaidi kupiga porojo HUKO KWA ajili ya kuonyesha Vitendo..naamini mdaa mwigine tens kujidhiirisha ndani. Ya CCM ANA WEZA NA UWEZO UPO
PONGEZI KUBWA CHAMA CHA CCM KUPATA HILI JEMBE