Imeshabomolewa.Si ilikuwa ngome ya CDM hiyo?!
Ulaghai wa Mbowe....ila kwann alitoka cdm
Kudaadek!!!..kumbe ilikuwa imejengwa kwenye eneo la hifadhi ya barabara!Imeshabomolewa.
Duh!Kudaadek!!!..kumbe ilikuwa imejengwa kwenye eneo la hifadhi ya barabara!
Wana kimara tunajielewa, hatuwezi kumpa kura zetu huyo MANOTA wenu. Kwanza anajisumbua tu hawezi kushinda tena na tangu aamie ccm mtaani anatembea kwa kujificha!!. Poleni sana mlio na imani naye. Manota ziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!View attachment 812289
Katika uchaguzi wa kata ya Kimara Mh Pascal Manota amepita bila kupingwa hata kabla ya uchaguzi baada ya wagombea wengine kukosa sifa za kugombea na kuenguliwe katika kinyang'anyiro hicho.
Manota ziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!Hongera Mannota
Wangekuwa na timamu wangekuwa wanalalamika kila kukicha si wangepiga kimya?Siasa ya tz imekua ya hovyo, wenye timamu wameamua kujiengua ili muendelee kupita bila kupingwa.
Kama uchaguzi utakuwa wa haki, Manota hatoboi kwa taarifa yako. Na hilo analijua kwamba atapata wakati mgumu sana kujinadi. Mie niko Kimara na ni mdau wa siasa.Wana kimara wenye vyama pamoja na wasio na vyama mnaonekana mnamkubali sana Diwani wenu Manota.
Lisu vipi? Mbeba gharama atakuwa naniUgonjwa ni ugonjwa
Hatuwezi peleka wagonjwa....
Je akitufia nani abebe gharama
Sasa hana mpinzani hata kura hazipigwi anasuburi kuapishwa tuWana kimara tunajielewa, hatuwezi kumpa kura zetu huyo MANOTA wenu. Kwanza anajisumbua tu hawezi kushinda tena na tangu aamie ccm mtaani anatembea kwa kujificha!!. Poleni sana mlio na imani naye. Manota ziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!