TANZIA Diwani afariki dunia ghafla baada ya kuhutubia mkutano wa ziara ya CCM

TANZIA Diwani afariki dunia ghafla baada ya kuhutubia mkutano wa ziara ya CCM

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Diwani wa Kiwere, Felix Waya, amefariki dunia ghafla jana Mei 23, 2025, baada ya kumaliza kuhutubia katika mkutano wa ziara ya CCM uliofanyika katika ukumbi wa Masai uliopo kwenye kata hiyo, Wilaya ya Iringa.

1748081928370.png

Akizungumza na Mwananchi leo Mei 24, 2025, Katibu wa UVCCM Wilaya ya Iringa Vijijini, Mfaume Gomangulu, amesema kifo cha Diwani Waya ni cha ghafla na kimetikisa chama na jamii kwa ujumla.

"Baada ya Waya kumaliza kujibu maswali mbalimbali kutoka kwa wananchi katika mkutano wa hadhara, alisema anahisi hayupo sawa na akaomba kutoka nje apunge upepo."

"Lakini muda mfupi baadaye, alisema anajisikia vibaya, akapelekwa haraka katika Kituo cha afya Nzihi, lakini hali yake ilionekana kuwa mbaya zaidi na hivyo akakimbizwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa,” amesema Gomangulu."

Diwani huyo alikuwa ni kiongozi mwenye historia ya kujitolea na utumishi kwa wananchi, ambapo alianza uongozi wake kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambako alihudumu kuanzia mwaka 2015 hadi 2020.

Baadaye alijiunga na CCM na kuchaguliwa tena kuongoza Kata ya Kiwere kwa kipindi cha mwaka 2020 hadi 2025, mauti yalipomfika.

Credit: Mwananchi
 
Diwani wa Kiwere, Felix Waya, amefariki dunia ghafla jana Mei 23, 2025, baada ya kumaliza kuhutubia katika mkutano wa ziara ya CCM uliofanyika katika ukumbi wa Masai uliopo kwenye kata hiyo, Wilaya ya Iringa.

Akizungumza na Mwananchi leo Mei 24, 2025, Katibu wa UVCCM Wilaya ya Iringa Vijijini, Mfaume Gomangulu, amesema kifo cha Diwani Waya ni cha ghafla na kimetikisa chama na jamii kwa ujumla.

“Baada ya Waya kumaliza kujibu maswali mbalimbali kutoka kwa wananchi katika mkutano wa hadhara, alisema anahisi hayupo sawa na akaomba kutoka nje apunge upepo.

“Lakini muda mfupi baadaye, alisema anajisikia vibaya, akapelekwa haraka katika Kituo cha afya Nzihi, lakini hali yake ilionekana kuwa mbaya zaidi na hivyo akakimbizwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa,” amesema Gomangulu.

Dwani huyo alikuwa ni kiongozi mwenye historia ya kujitolea na utumishi kwa wananchi, ambapo alianza uongozi wake kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambako alihudumu kuanzia mwaka 2015 hadi 2020.

Baadaye alijiunga na CCM na kuchaguliwa tena kuongoza Kata ya Kiwere kwa kipindi cha mwaka 2020 hadi 2025, mauti yalipomfika.
Kwakuwa ni msaliti na afe tuu.
 
Diwani wa Kiwere, Felix Waya, amefariki dunia ghafla jana Mei 23, 2025, baada ya kumaliza kuhutubia katika mkutano wa ziara ya CCM uliofanyika katika ukumbi wa Masai uliopo kwenye kata hiyo, Wilaya ya Iringa.


Akizungumza na Mwananchi leo Mei 24, 2025, Katibu wa UVCCM Wilaya ya Iringa Vijijini, Mfaume Gomangulu, amesema kifo cha Diwani Waya ni cha ghafla na kimetikisa chama na jamii kwa ujumla.

"Baada ya Waya kumaliza kujibu maswali mbalimbali kutoka kwa wananchi katika mkutano wa hadhara, alisema anahisi hayupo sawa na akaomba kutoka nje apunge upepo."

"Lakini muda mfupi baadaye, alisema anajisikia vibaya, akapelekwa haraka katika Kituo cha afya Nzihi, lakini hali yake ilionekana kuwa mbaya zaidi na hivyo akakimbizwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa,” amesema Gomangulu."

Diwani huyo alikuwa ni kiongozi mwenye historia ya kujitolea na utumishi kwa wananchi, ambapo alianza uongozi wake kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambako alihudumu kuanzia mwaka 2015 hadi 2020.

Baadaye alijiunga na CCM na kuchaguliwa tena kuongoza Kata ya Kiwere kwa kipindi cha mwaka 2020 hadi 2025, mauti yalipomfika.

Credit: Mwananchi
Kwenye biblia takatifu imeandikwa "wakimaliza kuwashambulia ninyi watageukiana na kuanza kushambuliana wao kwa wao"
 
Diwani wa Kiwere, Felix Waya, amefariki dunia ghafla jana Mei 23, 2025, baada ya kumaliza kuhutubia katika mkutano wa ziara ya CCM uliofanyika katika ukumbi wa Masai uliopo kwenye kata hiyo, Wilaya ya Iringa.


Akizungumza na Mwananchi leo Mei 24, 2025, Katibu wa UVCCM Wilaya ya Iringa Vijijini, Mfaume Gomangulu, amesema kifo cha Diwani Waya ni cha ghafla na kimetikisa chama na jamii kwa ujumla.

"Baada ya Waya kumaliza kujibu maswali mbalimbali kutoka kwa wananchi katika mkutano wa hadhara, alisema anahisi hayupo sawa na akaomba kutoka nje apunge upepo."

"Lakini muda mfupi baadaye, alisema anajisikia vibaya, akapelekwa haraka katika Kituo cha afya Nzihi, lakini hali yake ilionekana kuwa mbaya zaidi na hivyo akakimbizwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa,” amesema Gomangulu."

Diwani huyo alikuwa ni kiongozi mwenye historia ya kujitolea na utumishi kwa wananchi, ambapo alianza uongozi wake kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambako alihudumu kuanzia mwaka 2015 hadi 2020.

Baadaye alijiunga na CCM na kuchaguliwa tena kuongoza Kata ya Kiwere kwa kipindi cha mwaka 2020 hadi 2025, mauti yalipomfika.

Credit: Mwananchi
Mwizi wa kura amekufa! Aha sawa
 
Ikumbukwe wakati akiingia madarakani kupitia CHAMA CHA DEMOCRASIA NA MAENDELEO alimtoa diwani wa Ccm aliyependwa sana na wanakiwele na alikua kaleta maendeleo makubwa sana CHADEMA walifanya jitihada kubwa sana watu waliumia kwa kumpigania usiku na mchana LAKINI AKAJA KUSALITI CHAMA MCHANA WA JUA KALI.
THAMINI JASHO LA WAPIGA KURA.
 
Aseee! Jamaaa namfahamu kabisa. Kijana mpambanaji na mlima nyanya maarufu. Siasa ni gari bovu.
 
Back
Top Bottom