Division three ya 14 mpaka 16 2016.

Division three ya 14 mpaka 16 2016.

hii tume ya vyuo vikuu tcu, wanaruhusu mhitimu wa kidato cha sita mwaka jana kuomba kudahiliwa kwa minimum qualification entry ya C mbili tu, ambazo C ya mwaka jana ilianzia 40-49. na sasa tcu wananyima hizi three za mwaka 2016 zenye E, mfano three zenye DEE, EEE, EES kudahiliwa. mwaka huu E kiwango chake ni 40-49. hoja angu ni kwamba tofauti ya mtu mwenye C mwaka jana na mtu mwenye E mwaka huu ni ipii? haki ipo wapi? wanasheria hawalioni hilii ......
Tofauti zaweza kuwepo kutokana na sababu kadhaa pengine Hao wenye E kufikia hapo walifanyiwa standardization au uzito wa mtihani ulikua wa kawaida haukuwahitaji wasomi wafikie kiwango E' Tunaposema msome muache mapenzi, muache ushabiki wa team kiba v/s diamond, muache kushinda mitandaoni huwa tunasema kwa dhati ili mjiweke kwenye nafasi nzuri isiyohitaji mtu wa kuja kukupindua na kubabaishwa mfano ungegonga A au B zote hakuna upepo ungekuja kukupindua kama ilivyo kwenye E,
 
Siasa imechanganywa kwenye Elimu.
Hivi uyu mama mbona hana huruma kuwaeka watoto wa maskini nyumbani.
Daaaah kuna kijana huku mtaani ana DEE za PCB anauza maji mtaani na toroli mpaka na muonea huruma pia ni yatima.
Ndalichako acha roho mbaya kama za wakurya hii nchi syo yako ni ya kila Mtanzania.
Ww no kunguni mkubwa yani badala ya kuongea shida yako unahamia makabila yan keel haikufaa hata kuwa na elimu uliyonayo Hakka we n kilaza was kukariri makabila
 
Ww no kunguni mkubwa yani badala ya kuongea shida yako unahamia makabila yan keel haikufaa hata kuwa na elimu uliyonayo Hakka we n ****** was kukariri makabila
bila shaka wewe mkuryaa ila nikwelii wakuryaaaa rohoo kuntuu , kheri viongozi sio wakuryaaa , ndalichako amerithi wapi haya mapepo ya kikuryaaa
 
Back
Top Bottom