Division three ya 14 mpaka 16 2016.

Division three ya 14 mpaka 16 2016.

ommky

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2016
Posts
459
Reaction score
225
hii tume ya vyuo vikuu tcu, wanaruhusu mhitimu wa kidato cha sita mwaka jana kuomba kudahiliwa kwa minimum qualification entry ya C mbili tu, ambazo C ya mwaka jana ilianzia 40-49. na sasa tcu wananyima hizi three za mwaka 2016 zenye E, mfano three zenye DEE, EEE, EES kudahiliwa. mwaka huu E kiwango chake ni 40-49. hoja angu ni kwamba tofauti ya mtu mwenye C mwaka jana na mtu mwenye E mwaka huu ni ipii? haki ipo wapi? wanasheria hawalioni hilii ......
 
Hapo haki haipo kabisa ni ukandamizaji , misingi mibaya ya mfumo wa sera juu ya mabdiliko katik elimu hill ni la kuangaliwa sana
 
Hapo haki haipo kabisa ni ukandamizaji , misingi mibaya ya mfumo wa sera juu ya mabdiliko katik elimu hill ni la kuangaliwa sana
ni kweli, ila washeria wanatuangusha.. je wapo wapi?
 
Kina tundu lissu wakiwaambia muandamane kupinga udi. Kteta mnajifanya hamna shida na serkali ya ccm

Mi nasema waongeze tu ikibidi kujiunga na chuo iwe wenye one tu
Ili akili ziwakae sawa
hoja yako ni ipii mkuu ? serekali ya ccm au kuandamana??
 
Kwani akuna taasisi kama hakielimu kulizungumzis hili .Maana zote ni sawa izo sio sababu za kukataa E kutokana ina thamani ya moja na c ikawa na 2 . bodi ailioni hili
 
Niliwauliza ilo swali wizara ya elimu pale kwwnye maonyesho na wakanijibu kuna mpango maalum wa kuwatoa ao wenye c za mwaka jana kwenda kwenye foundation huku hii kitu imefutwa yani ni maruwe ruwe tu
 
Unapataje division Three form six..........aisee unasikitisha
 
Kina tundu lissu wakiwaambia muandamane kupinga udi. Kteta mnajifanya hamna shida na serkali ya ccm

Mi nasema waongeze tu ikibidi kujiunga na chuo iwe wenye one tu
Ili akili ziwakae sawa
Siasa imechanganywa kwenye Elimu.
Hivi uyu mama mbona hana huruma kuwaeka watoto wa maskini nyumbani.
Daaaah kuna kijana huku mtaani ana DEE za PCB anauza maji mtaani na toroli mpaka na muonea huruma pia ni yatima.
Ndalichako acha roho mbaya kama za wakurya hii nchi syo yako ni ya kila Mtanzania.
ni kweli, ila washeria wanatuangusha.. je wapo wapi?
 
Kwani akuna taasisi kama hakielimu kulizungumzis hili .Maana zote ni sawa izo sio sababu za kukataa E kutokana ina thamani ya moja na c ikawa na 2 . bodi ailioni hili
Ukilalamika eti E sawa na C ya BRN.
Eti watolewe wenye CC za BRN.
Nasisi wa BRN wenye BBB ambayo ilikua Dvs2 ya 9 tutalalamika vyeti vyetu vibadrshwe ziwe na Dvs1 ya6.
 
Ukilalamika eti E sawa na C ya BRN.
Eti watolewe wenye CC za BRN.
Nasisi wa BRN wenye BBB ambayo ilikua Dvs2 ya 9 tutalalamika vyeti vyetu vibadrshwe ziwe na Dvs1 ya6.
uyu nyau anajielewa kweli B ya BRN usilinganishe na C ya 2016 advance, tutakuvuruga ili ilo jinamizi la BRN likutoke uelewe hoja zetu zenye mashiko..
 
Back
Top Bottom