Diverted calls kwenye simu

Diverted calls kwenye simu

Mi nafikifiri ni kwa watumiaji wote wa Mtandao wa Tigo. Mie napata Ujumbe huu: Note: You have active diverts.... Lakini sijapata malalamiko yoyote toka kwa ninaowapigia ama wanaonipigia.
 
Mi nafikifiri ni kwa watumiaji wote wa Mtandao wa Tigi. Mie napata Ujumbe huu: Note: You have active diverts.... Lakini sijapata malalamiko yoyote toka kwa ninaowapigia ama wanaonipigia.
charminglady....can i talk to you please?
 
Last edited by a moderator:
Mi nafikifiri ni kwa watumiaji wote wa Mtandao wa Tigi. Mie napata Ujumbe huu: Note: You have active diverts.... Lakini sijapata malalamiko yoyote toka kwa ninaowapigia ama wanaonipigia.

dada nakuheshimu kwani nilikupigia kura ila sikufuatiloia nani alishinda nadhani ukitumia formular niliyoweka ina cancel all active devert sasa sijui kwa heshima uliyo nayo watu wako serious wana matatizo lakini wewe unatoa negative approach ok nisiku hukumu labda kuna simu sina respnd hivyo lakini kama unapotosha makusudi plse come down ila kama kwako ni kweli ok hata mm ntasubiri wataalamu zaidi
 
Hili tatizo ninalo kwa siku kadhaa sasa. Hofu yangu ikawa kwamba isije ikawa maagizo ya Polisi na DK. Kashilillah ya kuwanasa waliomtukana Mama Makinda ndo yameanzia kwangu. Kumbe tupo wengi, sasa napumua vizuri!!!
Bila shaka tatizo hilo limewakumba watumiaji wa NOKIA nchi nzima.
 
Mkuu asante kwa maelezo yako, ila bado kuna tatizo.
Nikisha bonyeza ok (Kwangu ok haionekani ila nabonyeza sehemu ya kupiga simu) kwa mujibu wa maelezo yako hapo juu inaniambia Divert cancelled. Ila nikipiga namba ya mtu yoyote bado inaniandikia ujumbe ule ule "Note: active incoming calls diverts" Nifanyeje sasa ili kuondoa tatizo hili kabisa.
mkuu wakati mwingine hutokea ikiwa umere-new number baada ya wali kupotea au kuharibika!
 
Mi nafikifiri ni kwa watumiaji wote wa Mtandao wa Tigo. Mie napata Ujumbe huu: Note: You have active diverts.... Lakini sijapata malalamiko yoyote toka kwa ninaowapigia ama wanaonipigia.
je una uhakika hakuna mtu mwingine anaye enjoy mawasiliano yako!!!
 
Kwenye simu yangu ya nokia ..tokea jana kila nikipiga simu inaandika ..note:you have active diverts..sasa sijui imetokana na nini halafu hata na wenzangu hapa wamepata hilo tatizo.Je kuna namna ya kuliondoa.
Kwani huwa huna call waiting wewe? Yaani mtu akikupigia wakati unaongea na mwingine yeye anapata simu yako inaita
 
dada nakuheshimu kwani nilikupigia kura ila sikufuatiloia nani alishinda nadhani ukitumia formular niliyoweka ina cancel all active devert sasa sijui kwa heshima uliyo nayo watu wako serious wana matatizo lakini wewe unatoa negative approach ok nisiku hukumu labda kuna simu sina respnd hivyo lakini kama unapotosha makusudi plse come down ila kama kwako ni kweli ok hata mm ntasubiri wataalamu zaidi

Mkuu... kwanza samahani kama nimekukosea. Ndo maana niliandika nafikiri. Ni kwa vipi unasema nimetoa negative approach??? Sijakuelewa labda... Kipi nimepotosha???
 
ok nimesema umetoa negative aproach coz mm ninavyojua hiyo ni formular ya kimataifa ya cm za mitandao yote kwamba ukibonyeza basi itaku inactivate na divertes zote sasa wewe unasema ina ku activate kitu ambacho kwa wanasayansi kama mm akiingii akilini ok labda uli overlook ok jaribu tena nipe majibu otherwize u apologize kwa ku overlook au mimi nikubali baada ya wewe kuhakikisha hiyo formular ai apply kwako so tusubiri wataalamu wengine.
 
Ila naomba niulize..kweli kuondoa hizo 'diverts' imekua ishu?

Mtu huwezi ukaingia kwenye settings za simu yako, iwe nokia, blackberry, iphone, mchina etc ukabadilisha call settings??

Watu mnajua kupiga na ku2ma msg tu..

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
 
Ila naomba niulize..kweli kuondoa hizo 'diverts' imekua ishu?

Mtu huwezi ukaingia kwenye settings za simu yako, iwe nokia, blackberry, iphone, mchina etc ukabadilisha call settings??

Watu mnajua kupiga na ku2ma msg tu..

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums

kaka kuna issue imetokea jana au juzi ok hatusapoti mtu kudhaririswa lakini pia ni kosa kuingilia mawasiliano ya mtu bila indhini yake na hii ni kwa mujibu wa katiba.sio TcRa waka bunge so wana haki ya kuuliza mambo mageni
 
formular niliyotoa ni ya kucancell all devert call otherwize ni setting zingine za cm yako kwa ushaurii labda sasa usome manual ya cm yako but that formular applies to all handset that has been diverted.dats all about me
hivi athari yake ni nini nilikuwa naona sikujali.
 
Ila naomba niulize..kweli kuondoa hizo 'diverts' imekua ishu?

Mtu huwezi ukaingia kwenye settings za simu yako, iwe nokia, blackberry, iphone, mchina etc ukabadilisha call settings??

Watu mnajua kupiga na ku2ma msg tu..

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums

!!! Technology inakua kwa kasi mno' siku hizi kuna kitu inaitwa GPS' kwa upande wa mawasiliano: "unaweza kunasa maongezi ya simu ya mtu, kwa kutumia GPS na kusoma txt, bila kugusa simu ya mhusika"
...zaidi nenda kwenye google search engine.
 
je una uhakika hakuna mtu mwingine anaye enjoy mawasiliano yako!!!


... Leo kwa vile ni siku ya mahusiano ! Ni siku nzuri ya kufatilia' kama unahisi mwezio siyo mwaminifu, kuna system inaitwa
"calls N' sms tracking" kwa kutumia GPS.
 
... Leo kwa vile ni siku ya mahusiano ! Ni siku nzuri ya kufatilia' kama unahisi mwezio siyo mwaminifu, kuna system inaitwa
"calls N' sms tracking" kwa kutumia GPS.
du hiyo system ipo na bongo!na inafanyaje kazi!
 
Back
Top Bottom