Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,471
- 272,056
mbinu ya special agent kwangu imekubali bila kigugumizi bali natumia Nokia E63 , sasa kwenye zile za kichina sielewi kama zinakubali .
mkuu nimeshindwa kudownload hizo antivirus natumia Nokia X2-01
kama umeweka antivirus kama kaspersky au netqin tumia blacklist kumblock mtu
Tokea juzi simu yangu ya nokia kila nikipiga inaandika NOTE:YOU HAVE ACTIVE DIVERTS..wakti sijawahi kui divertr,,nimejaribu kui cancel lakini haitoki nimepiga customer care wakasema haina tatizo..ndo simu za nokia zilivyo..nikamwambia kua nina nokia mda mrefu na cjawahi kuiona ikitokea akasema hajui..vp wadau ni mtandao au ni nini hasa.
sina uhakika na version but its through mobile guard..netqin vision gan mkuu cz nijuavyo mm inayoblock ni kaspersky nayo ina b installed for symbian tu!
Tokea juzi simu yangu ya nokia kila nikipiga inaandika NOTE:YOU HAVE ACTIVE DIVERTS..wakti sijawahi kui divertr,,nimejaribu kui cancel lakini haitoki nimepiga customer care wakasema haina tatizo..ndo simu za nokia zilivyo..nikamwambia kua nina nokia mda mrefu na cjawahi kuiona ikitokea akasema hajui..vp wadau ni mtandao au ni nini hasa.
Usiniambie kulikuwa na shinikizo la kukamata hao watu!!!! Juzi mwenzetu kaja kuchukuliwa na police kwa case hiyohiyo ya kumtumia muheshimiwa msg. Kweli inahitaji umakini sasa.Hili tatizo ninalo kwa siku kadhaa sasa. Hofu yangu ikawa kwamba isije ikawa maagizo ya Polisi na DK. Kashilillah ya kuwanasa waliomtukana Mama Makinda ndo yameanzia kwangu. Kumbe tupo wengi, sasa napumua vizuri!!!
formular niliyotoa ni ya kucancell all devert call otherwize ni setting zingine za cm yako kwa ushaurii labda sasa usome manual ya cm yako but that formular applies to all handset that has been diverted.dats all about me