Diva wa clouds anaiba mada MMU

MIGUGO

JF-Expert Member
Dec 3, 2011
2,131
3,912
Diva ze bosi wa clouds nimekuwa nikimsikia akianzisha mada bila kubadili wala kutaja JF kama ndio source.

Mdada huyu mwenye sauti ya kifekero hukopi na story za humu MMU kama mmenotice.

Nimeamini mawingu yanazidi kushuka.Hawana ubunifu siku hizi.Labda Kama anaingia Na ID tofauti Na akitoa mada Na stories humu Na kuziamishia clouds fm.Ila Nina uhakika anatoa humu.

JF inafanya nini kukabiliana na piracy hii?
 
Mimi nadhani tungejuvunia swala hili badala ya kulalamika, kama imefika mahaali MMu tunaaminika na kukubalika kama source ya mijadala mizuri ya kimaisha then this is good for us. Cha msing lazima azingatie copyright atleast ataje chanzo cha habari/taarifa yake
Diva ze bosi wa clouds nimekuwa nikimsikia akianzisha mada bila kubadili wala kutaja JF kama ndio source.

Mdada huyu mwenye sauti ya kifekero hukopi na story za humu MMU kama mmenotice.

Nimeamini mawingu yanazidi kushuka.Hawana ubunifu au laana za ndi ndi ndi?

JF inafanya nini kukabiliana na piracy hii?
 
Hapana labda Kama anaingia kwa ID tofauti tofauti Jf.Nimefuatilia Na Hilo.
Hilo la kuwa na ID tofauti linawezekana pia.
Lkn hata kama kaibeba mada toka humu nadhani tulipongeze jukwaa kwa kuaminika na kugeuka kuwa sehemu ya rejea
 
Hilo la kuwa na ID tofauti linawezekana pia.
Lkn hata kama kaibeba mada toka humu nadhani tulipongeze jukwaa kwa kuaminika na kugeuka kuwa sehemu ya rejea

Hatukatai ila maoni yetu kuwa angekuwa anataja reference ama source ya hizo stories au mada lengo ni kuappreciate kazi za watu.Sio yeye aonekane expert wa maswala ya MMU.Radio station ni taasisi Na Jamii Forums pia.Kwa hiyo JF needs to be recognized its contributions to the society that what am trying to say.
 
Diva ze bosi wa clouds nimekuwa nikimsikia akianzisha mada bila kubadili wala kutaja JF kama ndio source.

Mdada huyu mwenye sauti ya kifekero hukopi na story za humu MMU kama mmenotice.

Nimeamini mawingu yanazidi kushuka.Hawana ubunifu siku hizi.Labda Kama anaingia Na ID tofauti Na akitoa mada Na stories humu Na kuziamishia clouds fm.Ila Nina uhakika anatoa humu.

JF inafanya nini kukabiliana na piracy hii?
Hata mimi nimeshamshisi mara nyingi tuu
 
Mimi nadhani tungejuvunia swala hili badala ya kulalamika, kama imefika mahaali MMu tunaaminika na kukubalika kama source ya mijadala mizuri ya kimaisha then this is good for us. Cha msing lazima azingatie copyright atleast ataje chanzo cha habari/taarifa yake
Wee...kamwe hawezi kutaja
 
Back
Top Bottom