Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,468
- 23,745
Nawaambia Yanga ni Taasisi kubwa sana. Asilimia 80 ya Wana CCM ni Yanga na Chama ni Yanga. Huyu Dismas alitaka shindana na Nchi. Kiko wapi?
Iliwagharimu Toto Africa mpaka leo wana.landa landa mkianiMwigulu angejua anavyoharibu brand ya timu yake. kwa huu upuuzi wa kuonyesha mapenzi yaliyopitiliza kwa yanga...mwisho wa siku itamgharimu sana.
Kwani Habib Kyombo si alisainiwa na Singida Big stars akitokea Mbeya City na kabla Dirisha la usajili halijafungwa Simba wakamsajili kutokea Singida Big stars mbona Leo Metacha amesajiliwa Yanga akitokea Singida Mbumbumbu fc mnakasirika?Mchezaji tegemeo kwenye timu anatolewaje kwa mkopo? Kibiashara haimake sense ila kivyetu vyetu.
Nani amekasirika? Hivi hauwezi kuzungumza bila jazba?Kwani Habib Kyombo si alisainiwa na Singida Big stars akitokea Mbeya City na kabla Dirisha la usajili halijafungwa Simba wakamsajili kutokea Singida Big stars mbona Leo Metacha amesajiliwa Yanga akitokea Singida Mbumbumbu fc mnakasirika?
Kwa muda sasa golikipa namba kwa sasa ni Benjamin Haule. Hivyo uache manung'uniko yasiyo na kichwa, wala miguu.Mchezaji tegemeo kwenye timu anatolewaje kwa mkopo? Kibiashara haimake sense ila kivyetu vyetu.
Uanzishe sasa timu yako, halafu umpe hicho kitengo cha kubuni hizo jezi zenye mvuto.Huyu Dismas ten alivyokuwa Yanga alikuwa bingwa wa kubuni jezi zenye mvuto. Nimeona na Singida Wana jezi Kali kuliko timu yoyote Tanzania tofauti na za Yanga za mavibwengo na Simba kama Yale manguo ya mawingu ya zamani.
Ni swali. Asante kwa taarifa. Ila yeye kama CEO ina maana hana sauti katika kujua thamani ya mchezaji? Nani mwingine katika uongozi wa timu anaweza kujua hilo na kulitolea maamuzi?Kwa muda sasa golikipa namba kwa sasa ni Benjamin Haule. Hivyo uache manung'uniko yasiyo na kichwa, wala miguu.
Mwambie huyu jamaa yako atakufa kabla ya wakati wake. Akumbuke tu Yanga ilikuwepo, ipo, na itakuwepo.
Hivi ile Singida United iliishia wapi? Hajifunzii tyuuh huyu baba, khaaaahMwigulu angejua anavyoharibu brand ya timu yake. kwa huu upuuzi wa kuonyesha mapenzi yaliyopitiliza kwa yanga...mwisho wa siku itamgharimu sana.
Shogaaaa angu bas hapo upoo rohooo kwatuuuuu,Mwambie huyu jamaa yako atakufa kabla ya wakati wake. Akumbuke tu Yanga ilikuwepo, ipo, na itakuwepo.
Hilo neno shogaaaa angu lina ukakasi! 😩Shogaaaa angu bas hapo upoo rohooo kwatuuuuu,
Wee nae em hukoo ukakasi upii huo? Wee jua ni neno km best, rafk, mdau etc.Hilo neno shogaaaa angu lina ukakasi!
Hela hana uchungu nazo so he doesn't care.Mwigulu angejua anavyoharibu brand ya timu yake. kwa huu upuuzi wa kuonyesha mapenzi yaliyopitiliza kwa yanga...mwisho wa siku itamgharimu sana.