Disk langu limekuwa hivi msaada plizi

Disk langu limekuwa hivi msaada plizi

mugah di matheo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
6,334
Reaction score
12,466
Hard disk langu lilikuwa 3Tb sijui wakati wa kuformat nimebonyeza wapi limebaki 746Gb .
Naombeni mwenye ujuzi anisaidie jinsi ya kuurudisha volume yake halisi
 
Ingia kwenye window search bar andika disk part itakuja create hdd partition then nenda kaselect disk nyeusi iyo afu create new volume
Mbona sioni hiyo

Nimejaribu kwenye storage Management

Disk management
Halafu nikakuta ipo hiyo 746 na nyingine empty chini yake haijawekwa lebel na haiselect
 
iyo 746 ndio space halisia iyo TB ilikua ni mbwembwe. Kunamafekechee uwa yanafanyika ila ukiiformat tu inarudi kwenye uhalali.
Iyo nayo
Hapana,hii nimekaa nayo kwa miaka mingi kidogo nasio Mara ya kwanza kuifomat Ila nahis kwenye kimake partion Kuna hio partition kubwa ya 2.2T si kuitengeneza
 
Hard disk langu lilikuwa 3Tb sijui wakati wa kuformat nimebonyeza wapi limebaki 746Gb .
Naombeni mwenye ujuzi anisaidie jinsi ya kuurudisha volume yake halisi
Kama unatumia windows 10 bonyeza button ya Windows pamoja na X itakuja menu, chagua disk manager, then utaonyeshwa ujazo wa hard drive yako. Then angalia kama Hard drive yako itakuwa na unallocated space, unallocated space ni space ambayo, haijawa allocated kuwa partition. Hivyo unaweza kuextend volume yako pamoja na hiyo unallocated space ukapata ujazo kamili wa harddrive yako.
 
Kama unatumia windows 10 bonyeza button ya Windows pamoja na X itakuja menu, chagua disk manager, then utaonyeshwa ujazo wa hard drive yako. Then angalia kama Hard drive yako itakuwa na unallocated space, unallocated space ni space ambayo, haijawa allocated kuwa partition. Hivyo unaweza kuextend volume yako pamoja na hiyo unallocated space ukapata ujazo kamili wa harddrive yako.
Mm natumia window 7
 
Ok siyo mbaya, click start, halafu nenda kwenye search box andika disk management, halafu fungua hapo then fuata maelekezo hapo juu. Au kama utapata tabu unaweza kutumia snipping tool kupiga screenshot na kuipandisha hapa ili tupate picha halisi ya tatizo na kuweza kushauriana zaidi mkuu.
Imeandikwa disk 1 hiyo

IMG_20220517_170916.jpg
 
Sasa na wewe ndugu unapandishaje screenshot mbaya hivi isiyosomeka!! Utasaidiwaje sasa?
Naona hapo hajapiga screenshot mkuu, amepiga picha kioo, lakini ukizoom unasoma vizuri tu mkuu.
 
Back
Top Bottom