Discovery channel: Njia 1,000 za kujiua

MKWEPA KODI

JF-Expert Member
Nov 28, 2015
28,707
71,003
Kwa wale mnaopenda kuangalia discovery channel tv mtakumbuka kwamba kuna programe yao inayoelezea njia mbalimbali zaidi ya 1,000 za kujiua, nimeona niweke Uzi huu hapa ili tujadili ni njia ipi bora ya kujiua na ni sababu ipi ya msingi inayoweza kupelekea mtu kuamua kutoa uhai wake, kwa mimi jambo linaloweza kupelekea kutoa uhai wangu ni ugonjwa ambao unatesa sana kwa maumivu na hauna tiba, kwa mfano kansa ya ubongo n.k. na njia ninayoweza kuitumia kujitoa uhai ni over dosage ya madawa ya usingiza au ya kulevya ambayo yanatumika kwa wagonjwa wenye maumivu makali. Sina mpango wa kujiua wala simshauri mtu yeyote kujiua huu ni mjadala tu.
 
Mkuu kama huna dstv ingia kwenye YouTube search 1000 ways to die utapata kila kitu, au ingia discovery word
 
Njia nzuri toa vitu vyote ndan,funga mageti na solex,meza funguo ukae ndani mpk siku ya kufa,utajinyea sana kabla hujafa
 
Njia nzuri toa vitu vyote ndan,funga mageti na solex,meza funguo ukae ndani mpk siku ya kufa,utajinyea sana kabla hujafa

Ndugu, jamaa na marafiki watawahi kukuokoa na utawekwa chini ya ulinzi na hivyo hutaweza kujiua tena
 
Hakuna njia yoyote nzuri ya kujiua,hata kama ni maumivu makali magonjwa sumbufu,no need to kill ur self.
Tujadili lkn hii mada msiifanyie kazi saana make kuna wenzetu wale akina...... Hawachelewi kupata utaalam humu wa kujitoa roho."dhambi".
 
Hv umefkria nin uwaze kujiua? Ondoa mawazo potofu,mpk mungu aamue kukuchukua mwenyewe

Muombe sana Mungu wako akuepushe na majaribu, wenzetu wazungu wamepitisha mpaka na sheria ya kuruhusu madaktari kuwasaidia wagonjwa wenye matatizo makubwa yasiyo na tiba na baadhi ya matatizo hayo yametajwa kwenye sheria
 
Hakuna njia yoyote nzuri ya kujiua,hata kama ni maumivu makali magonjwa sumbufu,no need to kill ur self.
Tujadili lkn hii mada msiifanyie kazi saana make kuna wenzetu wale akina...... Hawachelewi kupata utaalam humu wa kujitoa roho."dhambi".

Hahahahahaaa sawa mkuu hahahaaa
 
Back
Top Bottom