Dira ya Maendeleo ya Taifa 2025 (Tanzania Development Vision 2025)...

Dira ya Maendeleo ya Taifa 2025 (Tanzania Development Vision 2025)...

Ayaaa shemeji noma anaongelea maendeleo ya kitukuu atakapo kuwa mkubwa. Sasa hapo kila awamu ya uongozi, kiongozi ahakikishe anakuwa tajiri kuliko matajiri wote waliotangulia hadi miaka mia ipite ndo tulifikilie taifa.

Acha kupotosha alichomaanisha ni kwamba ndani ya hiyo miaka Tanzania itakuwa tayari imeendelea. co ipite ndio tuendelee. Na lazima tuangalie vizazi vijavyo ina maana mwl nyerere acngeweka misingi na malego ya mda mrefu tungekuwaje kwasasa?
 
why mambo yote ya ahadi as if na yeye ni chama pinzani akiomba kura?
Atahakikisha lini and not now?
Apiga kampeni ya uchaguz sahivi nini!

Serikali au kuendesha nchi co kuongoza familia ya baba na watoto japo wengine wanashindwa. ni kitu kinachohitaji mikakati na implementations zianze, co eti utalala uhamke ndio ubadilishe kila kitu naamini ulipewa mda unaweza tena sana jembe.
 
Mwembe mtupu hautupiwi mawe.
Ni kweli lakini CCM is no longer a good bearing fruit mango tree. Kama una ushahidi kimefanyika nini cha ziada weka vinginevyo ni historia tumesimuliwa tu. Uliza success story Botswana na sasa tunaachwa ki uwekezaji hata na nchi kama Rwanda na Uganda....Shame on us if we do not want to change
 
Ni kweli lakini CCM is no longer a good bearing fruit mango tree. Kama una ushahidi kimefanyika nini cha ziada weka vinginevyo ni historia tumesimuliwa tu. Uliza success story Botswana na sasa tunaachwa ki uwekezaji hata na nchi kama Rwanda na Uganda....Shame on us if we do not want to change

Rwanda population yao ni ngapi?!
 
Hope unaongelea mkurabita na mkukuta 1 n 2, suala la wananchi kupitia co la viongozi. ni lawananchi wenyewe serikali ni wewe usimnyooshee mtu kidole kwani Tanzania co ya viongozi ni yako so ni wajibu wa kila mtanzania kutafuta hizo nyaraka nakuzisoma

Mimi huwa nawashangaa sana vijana wa nchii hii, yaani mnatumia nguvu nyingi kubeza, kukejeli hv jamani hii nchi ndo kwenu huna nchi yako nyingine zaidi hii na hawa viongozi hawakuingia madarakani kwa kutumia mabavu, wameaminiwa na wananchi wao ndio maana wako hapo kutuwakilisha na hawa co malaika. ila wanapifanya kitu kwa manufaa ya nchi tuwaunge mkono na co kuwabeza.
Sophia Andrew it seems unaish mjini na si vijijini,hizi docs unazosema wananchi unaosema wazisake si wote wenye uwezo, na kuhusu kukejeli may be kweli kuna kejeli ila zina mantiki, Masoud Kipanya katuni zake huwa ni za kukejeli lakini hufikisha ujumbe. Unajua kuna zaid ya heka 300 Kuna kiongoz anamilik mvomero na halimi?tatizo linakuja wanapoomba kura huwa hawasemi kama watakuwa wabadhirifu. SUala la MKUKUTA lina utata kwa sababu ukisoma MKUKUTA I na mafanikio haviendani,kifup haujafanikiwa now kuna MKUKUTA II ambayo nayo haina tija kwenye ku-deliver,lakini 5 year plan pia ni majanga,isome angalia kias cha pesa inayoyopangiwa na inachopata je tumebak na miaka mingapi hiyo 5 year plan ikamilike?
 
Rwanda population yao ni ngapi?!
Mdau acer ukianza kuangalia mambo ya Population utapotea kabisa,na usitoe kisingizio cha population,nakupa mfano Tanzania na South East Asia were almost similar by 1960s-1970s, later on hizo nchi zikaanza kumove,ambazo ni Singapore,Korea Kusini,China,India na sasa Malaysia ambayo imepata uhuru 1957 Miaka minne mbele ya Tanzania,kama zilikua sawa kimaendeleo na baadae zimeendelea ilikuwaje?Kama issue ni Population je India population yake ikoje?mpaka leo ikawa moja ya nchi zinazofanya fresh kwenye teknolojia?maana now Tanzania inapokea misaada from India
 
Last edited by a moderator:
Acha kupotosha alichomaanisha ni kwamba ndani ya hiyo miaka Tanzania itakuwa tayari imeendelea. co ipite ndio tuendelee. Na lazima tuangalie vizazi vijavyo ina maana mwl nyerere acngeweka misingi na malego ya mda mrefu tungekuwaje kwasasa?
Soma The Citizen la jana,halafu uje ufananishe na post yako hapa,ndo utaona kuna mahali mnajichanganya,wewe unaamini katika Nyerere ila hao unaowatetea hawaamini,na wanasema chanzo cha umaskin huu ni...................
 
uongo
upi unaoungelea wewe? mwigulu niko tayar kukuchangia hela ya kuchukua form

Fuatilia utendaji wa mwigulu kwa muda mchache alipoingia pale wizarani mambo mengi yamebadilika.Jamaa yuko poa sana kiutendaji Tumuunge mkono 2015


huwa sipendi kuleta ushabiki katika mambo ya kimsingi, wewe unaleta ushabiki kuwa kabadilisha utendaji wizarani, sisi tunazungumzia mabadiliko ya kimaendeleo ya kila mtanzania sio mabadiliko ya wizara.
 
Sophia Andrew it seems unaish mjini na si vijijini,hizi docs unazosema wananchi unaosema wazisake si wote wenye uwezo, na kuhusu kukejeli may be kweli kuna kejeli ila zina mantiki, Masoud Kipanya katuni zake huwa ni za kukejeli lakini hufikisha ujumbe. Unajua kuna zaid ya heka 300 Kuna kiongoz anamilik mvomero na halimi?tatizo linakuja wanapoomba kura huwa hawasemi kama watakuwa wabadhirifu. SUala la MKUKUTA lina utata kwa sababu ukisoma MKUKUTA I na mafanikio haviendani,kifup haujafanikiwa now kuna MKUKUTA II ambayo nayo haina tija kwenye ku-deliver,lakini 5 year plan pia ni majanga,isome angalia kias cha pesa inayoyopangiwa na inachopata je tumebak na miaka mingapi hiyo 5 year plan ikamilike?

watu kama nyie ni akiba sana kwa taifa,watu wanaoizunguka Tanzania hii hasahasa vijijini wanajua fika taifa hili linaelekea wapi, hauwezi ukawa unabishana na mtu ambae anaenda kijijini kusalimia kwa siku tatu akirudi mjini anaanza kuleta porojo. ajira ni janga, kwani huyo jamaa anayesifiwa na dada yetu hapa,ameshatengeneza ajira mpya ngapi even katika wizara yake
 
Serikali au kuendesha nchi co kuongoza familia ya baba na watoto japo wengine wanashindwa. ni kitu kinachohitaji mikakati na implementations zianze, co eti utalala uhamke ndio ubadilishe kila kitu naamini ulipewa mda unaweza tena sana jembe.

Mdau acer ukianza kuangalia mambo ya Population utapotea kabisa,na usitoe kisingizio cha population,nakupa mfano Tanzania na South East Asia were almost similar by 1960s-1970s, later on hizo nchi zikaanza kumove,ambazo ni Singapore,Korea Kusini,China,India na sasa Malaysia ambayo imepata uhuru 1957 Miaka minne mbele ya Tanzania,kama zilikua sawa kimaendeleo na baadae zimeendelea ilikuwaje?Kama issue ni Population je India population yake ikoje?mpaka leo ikawa moja ya nchi zinazofanya fresh kwenye teknolojia?maana now Tanzania inapokea misaada from India

Ni kweli...mi nadhan population inapokuwa ndogo na nafasi yakuendelea haraka inakuwa ndogo pia..ni mtizamo tu nikijaribu kulinganisha na nchi zenye watu wengi nyingi zimepiga hatua...!
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli...mi nadhan population inapokuwa ndogo na nafasi yakuendelea haraka inakuwa ndogo pia..ni mtizamo tu nikijaribu kulinganisha na nchi zenye watu wengi nyingi zimepiga hatua...!
Me nadhan watu wanataka kutuhadaa hapa wakat situation zinaeleweka,kwa sababu leo hii tunapozungumzia maendeleo ya Rwanda watu wanabeza kisa ni kanchi kadogo haina maana,kwa sababu pia kuna nchi zenye population kubwa zimeendelea ambazo zilikua sawa na Tanzania,Rwanda imetoka kwenye machafuko its there, Tanzania haijawai kukumbana na machafuko its here, leo tena watu wanasema Rwanda inaendelea kwa kuiba au Kupora madini CONGO,(May be kweli) ila sisi mbona hatuendelei ingaw amadini tunachimba wenyewe?mi nawashaur watu wajaribu kupitia baadh ya govt docs, MKUKUTA I,MKUKUTA II,MKUZA, FIVE YEAR DEV PLAN,kisha wapime na impact zake,hiz docs zipo kwenye google na maofisini,hao wananchi wa vijijini hawazisomi na hawawez kuziona wala hawana wasaa wa kuzijadili,leo hii hapahapa JF tuulizane ni watu wangapi wa hapa JF waliouona MPANGO WA TAIFA WA MIAKA MITANO?WAMEUSOMA?WAMEUELEWA? CC Sophia Andrew
 
Last edited by a moderator:
Me nadhan watu wanataka kutuhadaa hapa wakat situation zinaeleweka,kwa sababu leo hii tunapozungumzia maendeleo ya Rwanda watu wanabeza kisa ni kanchi kadogo haina maana,kwa sababu pia kuna nchi zenye population kubwa zimeendelea ambazo zilikua sawa na Tanzania,Rwanda imetoka kwenye machafuko its there, Tanzania haijawai kukumbana na machafuko its here, leo tena watu wanasema Rwanda inaendelea kwa kuiba au Kupora madini CONGO,(May be kweli) ila sisi mbona hatuendelei ingaw amadini tunachimba wenyewe?mi nawashaur watu wajaribu kupitia baadh ya govt docs, MKUKUTA I,MKUKUTA II,MKUZA, FIVE YEAR DEV PLAN,kisha wapime na impact zake,hiz docs zipo kwenye google na maofisini,hao wananchi wa vijijini hawazisomi na hawawez kuziona wala hawana wasaa wa kuzijadili,leo hii hapahapa JF tuulizane ni watu wangapi wa hapa JF waliouona MPANGO WA TAIFA WA MIAKA MITANO?WAMEUSOMA?WAMEUELEWA? CC Sophia Andrew

Tuna shida kubwa sana katika kusimamia mipango na sera tunazoziweka..kila kukicha tunakuja na mipango kibao ila usimamizi mbovu,,bora kuwa na mipango na vipaumbele vichache tuvisimamie kwa nguvu...
 
Last edited by a moderator:
Tuna shida kubwa sana katika kusimamia mipango na sera tunazoziweka..kila kukicha tunakuja na mipango kibao ila usimamizi mbovu,,bora kuwa na mipango na vipaumbele vichache tuvisimamie kwa nguvu...
Kwa sababu ya kuhelemewa naona jamaa wameamua waunde mipango lukuuuki ili kunwafurahisha hao the so called WAHISANI
 
Back
Top Bottom