Diploma za pharmacy na medical laboratory

paxo

Member
Oct 10, 2015
55
31
samahani wakuu, naomba kuuliza kati ya hizi koz mbili mnanishauri nisome ipi? Maana nimechaguliwa medical lab-udom lakn kuna wadau wananiambia nikasome Pharmacy.
Tafadhar naombeni mnifumbue macho juu ya hizi mbili ili niweze kupata maamuz sahihi.

karibuni
 
Kasome medical lab viajira vyake viko vingi

Ungekua hujachagua bado ningekushauri usome mionzi uje ule pesa mingi
 
Binafsi ninakushauri nenda kasome Pharmacy. Kwa sababu kuu mbili tu...
1/Uwezekano wa Kuajiriwa ni mkubwa.
2/Uwezekano wa kujiajiri ni 100%.
 
samahani wakuu, naomba kuuliza kati ya hizi koz mbili mnanishauri nisome ipi? Maana nimechaguliwa medical lab-udom lakn kuna wadau wananiambia nikasome Pharmacy.
Tafadhar naombeni mnifumbue macho juu ya hizi mbili ili niweze kupata maamuz sahihi.

karibuni
Kasome pharmacy
 
Binafsi ninakushauri nenda kasome Pharmacy. Kwa sababu kuu mbili tu...
1/Uwezekano wa Kuajiriwa ni mkubwa.
2/Uwezekano wa kujiajiri ni 100%.
Wote wana nafasi kubwa ya kuajiriwa na kujiajiri. Japo diploma ya pharmacy haimruhusu kufungua pharmacy. Atalazimika kutafuta pharmacist aweke cheti chake dukani kwake na ajiandae kumlipa si chini ya milioni moja kwa mwezi. Japo duka LA dawa muhimu anaweza kufungua japo kipato chake ni kidogo! Diploma ya maabara anaruhusiwa kufungua maabara yake.
Kwa maoni Yangu kwa level ya diploma, maabara inalipa zaidi ila kwa level ya digrii pharmacy haina mshindani! hakuna cha MD wala baba yake MD wote wanakaa chini! Ila kama lengo si pesa ila ni sifa, basi MD ni baba lao!
 
Back
Top Bottom