devinyo1987
JF-Expert Member
- Mar 12, 2021
- 269
- 367
Wakuu wana jf habarin,
Naomba kuuliza kati ya diploma ya maabara Yan medical laboratory na diploma pharmacy ipi unaweza kuajiriwa haraka serikalini?
Naomba kuuliza kati ya diploma ya maabara Yan medical laboratory na diploma pharmacy ipi unaweza kuajiriwa haraka serikalini?