Habari! Wana jamvi,
Kwa wale wanaotegemea kuomba shahada ya kwanza(degree) kutokea diploma kwa kozi mbalimbali hapo kesho dirisha linapo funguliwa kupitia TCU tukutane hapa wakuu kupeana taarifa zitakazo kuwa zinaendelea na hata kuhusu guide book mala baada itakapo toka.Ahsanteh