Killerman
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 326
- 183
Science wanayoangalia ni afya, kilimo, education na mazingira kidooogo. Ila kompyuta sayansi sio kipaombele.
na pia kuhusu mkopo wanaangalia sana direct, yaani form six. Watu wa mature au equivalent huwa kidogo sio preority. Kwahiyo kijana tulia kwanza unaweza pata kwa slot zingine. Ila kwa hii ya kwanza na ya pili kipaombele ni sayansi na direct....
na pia kuhusu mkopo wanaangalia sana direct, yaani form six. Watu wa mature au equivalent huwa kidogo sio preority. Kwahiyo kijana tulia kwanza unaweza pata kwa slot zingine. Ila kwa hii ya kwanza na ya pili kipaombele ni sayansi na direct....