Diploma Holders waliopata mkopo

Diploma Holders waliopata mkopo

V2d

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2011
Posts
204
Reaction score
31
je kuna watu waliotoka Diploma wamepata mkopo? kama wapo waliopata mkopo wajitokeze manake sisi tuliomaliza Diploma tumetengwa sana kwenye mkopo.

Mimi nimechaguliwa UDOM bachelor of education in commerce bt mkopo sijapata
 
Kuna jamaa yangu kapata mkopo na chuo udom environment engineering
 
Hao wa science wanapewa kipaumbele sana
 
hapa!@ kwa mfano chuoo changu mimi wanasoma computer science hakuna hata mtu moja aliyepata mkopo,, czani kama wanaangalia science aisee,,
 
Mkopo naona hatupati kwa watu wa diploma,maana cjaona waliopata
 
Naona bila kuwa na mtu uko upati.. watu wa business wanapata asilimia 100.. wakati science hakuna hata moja wakuzugia.
 
Siku mahanisha hivyo unavyo fikiri kaka!,, samahani kama nimekosea kwenye maelezo yangu,,!@ Na mdogo wangu amekosa mkopo hapo.. nilipambana kumsomesha diploma, ni yatima anasoma science .. nilizani itakuwa nimepunguza mzigo lakini hapana,.! kwangu sio kitu kidogo.
Samahani sana mr Upepo pesa.
 
Siku mahanisha hivyo unavyo fikiri kaka!,, samahani kama nimekosea kwenye maelezo yangu,,!@ Na mdogo wangu amekosa mkopo hapo.. nilipambana kumsomesha diploma, ni yatima anasoma science .. nilizani itakuwa nimepunguza mzigo lakini hapana,.! kwangu sio kitu kidogo.
Samahani sana mr Upepo pesa.
Bodi wamesema walio qualify kupata mkopo ni watu 50000 na hadi sasa wametoa kwa watu 40000 kwa hiyo bado majina 10000 yatatolewa tena muwe na subira
 
je kuna watu waliotoka Diploma wamepata mkopo? kama wapo waliopata mkopo wajitokeze manake sisi tuliomaliza Diploma tumetengwa sana kwenye mkopo.

Mimi nimechaguliwa UDOM bachelor of education in commerce bt mkopo sijapata

wenzio tsha ramba!!! thank u magufur
 
je kuna watu waliotoka Diploma wamepata mkopo? kama wapo waliopata mkopo wajitokeze manake sisi tuliomaliza Diploma tumetengwa sana kwenye mkopo.

Mimi nimechaguliwa UDOM bachelor of education in commerce bt mkopo sijapata

just wait......... kk
 
Kiukweli bod haiwatendei haki watu was Diploma maana wanasoma kwa tabu sana then wanapoomba elim ya juu hawathaminiwi kabisa. Hiyo sio haki kwakweli waoneeni huruma hata wao wanastahili haki hiyo
 
Wanapata lakini kwa kuchezesha (Rushwa), wapo ninaosoma nao chuo course ya BBA ni Diploma-Holders na mkopo wanapata. Mimi sikupata lakini nilipowadadisi walinieleza mbinu waliyotumia. Nimeamua kukomaa mwenyewe japo inaudhi
 
Back
Top Bottom