Alipigwa na schizophrenia, alikuwa anawaza kafanya jambo flani kumbe hajafanya, ndio unamkuta anasema kapaa na punda mara kapasua mwezi hakuna mtu Alie muona alifanya hayoiyo adith inaelezea kuhusu kurogwa kwa mtume kwaiyo mtu akirogwa ndio anakuwa na ugonjwa wa akili?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumeshathibitisha alikuwa na tatizo la akili baada ya kulogwa na lilidumu mwaka mzima , tuende point ya pili?lete ushaidi kwa aya unayoyasema.. nakula kiapo kwa allah tabaraka ukinitibitishia aya unayoyasema naungana na wewe na nitaukana adharani uislamu apa JF
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kwamba ni ubatili ni upumbavu kabisa,unapigana kwa utamaduni wa wengine huku ukiuterekeza wa kwakoHa ha haaa. Sasa mtu kama huyo ukimuambia ua watu wanaoongea kiingereza atawaacha kweli? Haya madude yaliyoletwa na majahazi sometimes ni ubatili mtupu kama alivyoandika Mhubiri.
Uko sawa sana,endeleza utamaduni wa mababu zako basiToka nianze kujitambua nimeacha hata kwenda kanisani nina miaka 5 sasa
Pepo ya nani mnadanganyana tusasa kwa nini Mungu kawaumba watu bil+ wanaongea lugha tofauti? si angeumba watu waongee kiarabu tu... mimi siku ya mwisho ntamuomba anihukumu kiswahili. Afu bado unaweza kujifunza kiarabu na bado pepo usiione (kama kweli ipo)[emoji174]
Ni Upumbavu uliokithiri aisee!!Wafuasi wa dini wote hawanaga akili.
Just imagine jitu halifanyi kazi linaamini kwenye miujiza na baraka za ibrahimu wa uongo.
Majitu yanaacha madawa ya kitabibu na kukimbilia tiba za kipuuzi za hao manabii uchwara.
Jitu linamkashifu mwenzake kwa kumuita kafir&mpagani kisa dini iliyokuja kwa meli, kuna wale wapumbavu mpka waliofikia kuwatukuza wanadamu wenzao kwa kuwaita taifa teule, uteule sijui ni upi huo wakuuwa raia wasio na hatia, na kuna mpka wameaminishwa kuna miji mitakatifu huko uarabuni[emoji23][emoji23].
Huo wote ni upumbavu na ukosefu wa akili, washika dini wengi ni vilaza na masikini wa kutupwa, hiyo ndio main target ya waliotunga dini yaan kuhatibu akili na kuwagawanya watu ili watawalike vizuri
Alirogwa, hili ndiyo jibu sahihi. Sasa si ndiyo uonyeshe wapi alitupiwa ugonjwa wa kichaa.Sababu ipo wazi alitupiwa ugonjwa wa ukichaa akawa chizi hilo lipo wazi
Kijana huwa unachekesha sana, unavyolazimisha mambo yawe unavyotaka na hayako hivyo bali haiwezekani iwe unavyotaka.Tumemaliza Muhammad alikuwa chizi schizophrenia
Mtume (ﷺ) aliendelea kwa kipindi kama hicho na vile akidhani amelala (alikuwa na uhusiano wa kimapenzi) na wake zake, na kwa kweli hakufanya........ Sahih al-Bukhari 6063
Schizophrenia - kudhani umefanya jambo na kweli hukufanya
Still ulikuwa uijui diniMm mambo ya dini nilishaachana nayo toka nijue yaliyo nyuma ya dini.!!! Na nmekuwa nikiishi vzr sana sina ubaguzi wa kuwabagua watu kwa dini zao, kabila zao wala tamaduni tofauti na huko nyuma nilivyokuwa mfia dini...!!!
Sasa hapo ukimuuliza ushawahi kwenda peponi ukakuta watu wanaongea kiarabu atakwambia mtume kasema!!! Ujinga mtupu
Si kweli.Kushika dini na kumjua MUNGU ni vitu viwili tofautiWafuasi wa dini wote hawanaga akili.
Just imagine jitu halifanyi kazi linaamini kwenye miujiza na baraka za ibrahimu wa uongo.
Majitu yanaacha madawa ya kitabibu na kukimbilia tiba za kipuuzi za hao manabii uchwara.
Jitu linamkashifu mwenzake kwa kumuita kafir&mpagani kisa dini iliyokuja kwa meli, kuna wale wapumbavu mpka waliofikia kuwatukuza wanadamu wenzao kwa kuwaita taifa teule, uteule sijui ni upi huo wakuuwa raia wasio na hatia, na kuna mpka wameaminishwa kuna miji mitakatifu huko uarabuni[emoji23][emoji23].
Huo wote ni upumbavu na ukosefu wa akili, washika dini wengi ni vilaza na masikini wa kutupwa, hiyo ndio main target ya waliotunga dini yaan kuhatibu akili na kuwagawanya watu ili watawalike vizuri
Alilogwa akawaje?, mbona kama unakwepa madhara ya ulozi aliyopata ,Alirogwa, hili ndiyo jibu sahihi. Sasa si ndiyo uonyeshe wapi alitupiwa ugonjwa wa kichaa.
Sijalazimisha , ugonjwa wa akili wa kudhani umefanya jambo na hujalifanya unaitwa schizophreniaKijana huwa unachekesha sana, unavyolazimisha mambo yawe unavyotaka na hayako hivyo bali haiwezekani iwe unavyotaka.
Mgetuambia alikuwa ana pizi hewani au vipi maana alikuwa anawaza ndoto nyemvuKijana huwa unachekesha sana, unavyolazimisha mambo yawe unavyotaka na hayako hivyo bali haiwezekani iwe unavyotaka.
Sasa si hadithi imeonyesha wazi. Wewe tuinyeze wapi hadithi imesema alikuwa na matatizo ya akili ?Alilogwa akawaje?, mbona kama unakwepa madhara ya ulozi aliyopata ,
Nyie waislamu mnatuambia alilogwa akawa schizophrenia, Yani anadhani kafanya jambo kumbe hajafanya
Malizia hadithi. Sasa huo siyo ugonjwa wa akili, ugonjwa wa akili ni huu ambao unao wewe.Sijalazimisha , ugonjwa wa akili wa kudhani umefanya jambo na hujalifanya unaitwa schizophrenia
Sasa msome Muhammad alikuwa na Hali gani
Mtume (ﷺ) aliendelea kwa kipindi kama hicho na vile akidhani amelala (alikuwa na uhusiano wa kimapenzi) na wake zake, na kwa kweli hakufanya........ Sahih al-Bukhari 6063
Schizophrenia - kudhani umefanya jambo na kweli hukufanya
Hili lingine tena umelileta mpaka akili ikuae sawa, ruka ruka tu.Mgetuambia alikuwa ana pizi hewani au vipi maana alikuwa anawaza ndoto nyemvu
Mtume (ﷺ) aliendelea kwa kipindi kama hicho na vile akidhani amelala (alikuwa na uhusiano wa kimapenzi) na wake zake, na kwa kweli hakufanya........ Sahih al-Bukhari 6063
Mohamedy nakuita mara3Mm mambo ya dini nilishaachana nayo toka nijue yaliyo nyuma ya dini.!!! Na nmekuwa nikiishi vzr sana sina ubaguzi wa kuwabagua watu kwa dini zao, kabila zao wala tamaduni tofauti na huko nyuma nilivyokuwa mfia dini...!!!
Sasa hapo ukimuuliza ushawahi kwenda peponi ukakuta watu wanaongea kiarabu atakwambia mtume kasema!!! Ujinga mtupu