Nimeamka asubuhi leo nikaamua kusoma Hadith. Nilikuwa nafikiria"hawa Waislamu wanaitwa wastaarabu lakini mbona hawafanyi mambo ya kistaarabu barabarani"?
Nikasoma,baada ya muda nikaifikia hii statement,
Allah's Apostle said, "By Him in Whose Hands my life is, none of you will have faith till he loves me more than his father and his children."
Halafu hii statement,
The Prophet said "None of you will have faith till he loves me more than his father, his children and all mankind."
Kabla ya hapo Muhammad alikuwa amesema,
The Prophet said, "None of you will have faith till he wishes for his (Muslim) brother what he likes for himself." .
Ugomvi wangu na hizi statements,hii ya chini,kwa mfano,"Waislamu wapendane",ina maana upendo ni kwa Waislamu wenyewe,hauwahusu watu wengine.
Au ukisema "Waislamu wasimpende baba yao au mama yao au mtoto wao,ila wampende Mtume tu.
Au unaposema dunia nzima isipendwe isipikuwa Muhammad tu. Hiyo siyo recipe for terrorism?