Wengine wametoa mikoko hiyo hiyo kama sadaka kanisani, nina mfano wa mama ambaye alitoa gari kwa mchungaji eti kaonyeshwa kuwa linatakiwa kwa ajili ya kazi, kilichotokea siwezi hata kukisema.Sasa utasemaje wanatapeliwa wakati wanasukuma mikoko ya maana😅
Inategemeana umeenda msikiti gani au kanisa gani? Watu ni hawa hawa unawaona barabarani na maofisini.Wako na dini zao mbalimbali ukitaka kufanya uchunguzi utaona tu ukienda makanisani na misikiti mikubwa.Mbona misikitini na kwenye makanisa ya wasabato ijumaa na jmosi hakuna ndinga nyingi kuliko hayo makanisa unayosema? Am just curious!!