Mbona misikitini na kwenye makanisa ya wasabato ijumaa na jmosi hakuna ndinga nyingi kuliko hayo makanisa unayosema? Am just curious!!Hayakutokana na miujiza.. Hakuna muujiza wa kukupa gari wala utqjiri
misikitini ndio hakunaga ndinga nyingi, hiyo inajulikana hao ni wavivu wa kufanya kazi, nenda kkkt utakuta ndinga nyingi utadhani ni yard kumbe ni magari ya waumini na hakuna kuombewa miujiza hukoMbona misikitini na kwenye makanisa ya wasabato ijumaa na jmosi hakuna ndinga nyingi kuliko hayo makanisa unayosema? Am just curious!!
Kwahiyo mkiwa nazo nyinyi ni sawa ila wakiwa nazo wa kwa mwamposa ni utapeli sio juhudi na kazi wala miujiza, nauliza tu lknmisikitini ndio hakunaga ndinga nyingi, hiyo inajulikana hao ni wavivu wa kufanya kazi, nenda kkkt utakuta ndinga nyingi utadhani ni yard kumbe ni magari ya waumini na hakuna kuombewa miujiza huko
Hili ni somo lingine tofauti kuhusu kutoa .. Kumbuka ni kwa kutoa ndio tunapokea.. Na hii ni universal law!Mbona misikitini na kwenye makanisa ya wasabato ijumaa na jmosi hakuna ndinga nyingi kuliko hayo makanisa unayosema? Am just curious!!
Wanazo sana tuu ila pengine hawapendi kwenda nazo kuepuka kuonekana mambo safimisikitini ndio hakunaga ndinga nyingi, hiyo inajulikana hao ni wavivu wa kufanya kazi, nenda kkkt utakuta ndinga nyingi utadhani ni yard kumbe ni magari ya waumini na hakuna kuombewa miujiza huko
Unasali kwa Mwamposa? At per hakosi watu elfu 10 kwa ibada moja.. Je wenye 'ndinga kali' ni wangapi? Hawafiki 10% I can assure you!Kwahiyo mkiwa nazo nyinyi ni sawa ila wakiwa nazo wa kwa mwamposa ni utapeli sio juhudi na kazi wala miujiza, nauliza tu lkn
Sawa mkuu umeelewekaHili ni somo lingine tofauti kuhusu kutoa .. Kumbuka ni kwa kutoa ndio tunapokea.. Na hii ni universal law!
Wakati watu wa imani moja wakihimizwa wamtolee Mungu kilicho bora! (Refer sadaka za Abel na Habil) hivyo kuiikuta wanapambana kufanya kazi kwa bidii ili wajenge jengo zuri la ibada na kuwahudumia watumishi( hii automatically ni baraka) kuna imani nyingine inaamini nyumba ya ibada inajengwa na wenye nacho tuuu.. No sharing! Baraka itatoka wapi hapo
Lakini pia kuna standards za maisha zinazotautiana
hao wa kwa mwamposa wamepata hizo ndinga kwa juhudi zao wenyewe kufanya kazi na sio miujiza. Unataka muujiza wa kuombewa nguvu za kiume? Uharibu nguvu za kiume mwenyewe kwa kutokuzingatia afya ya kula halafu utake muujiza?Kwahiyo mkiwa nazo nyinyi ni sawa ila wakiwa nazo wa kwa mwamposa ni utapeli sio juhudi na kazi wala miujiza, nauliza tu lkn
Hapana sisali kwa mwamposa mm ni muislamUnasali kwa Mwamposa? At per hakosi watu elfu 10 kwa ibada moja.. Je wenye 'ndinga kali' ni wangapi? Hawafiki 10% I can assure you!
Ushindwe na ulegee mganga unayetaka mafuta yetu ya upako yasipate tena soko!Kisha unatoa 'sadaka' kumpa nabiiš„µ
Ni kweli, msukumo wa kutafuta miujiza na ufumbuzi wa matatizo magumu ya kimaisha umekuwa kichocheo kikuu kwa watu wengi kukimbilia makanisa yanayoongozwa na manabii na mitume.Kumekuwa na nyomi kubwa sana kwa hawa wahubiri wa miujiza. Hizi nyomi ukizichunguza utagundua zinatoka kwenye ile dini, dini ya mnyaazi mungu, a.k.a dini ya haki. Kule wamechoshwa na mafundisho yaleyale karne na karne, wamekosa matumaini, bahati mbaya wanakimbilia kwenye miujiza pasipokuwepo na mafundisho thabiti ya neno la Mungu
Sasa utapeli upo wapi hapo na hilo ndio swali languhao wa kwa mwamposa wamepata hizo ndinga kwa juhudi zao wenyewe kufanya kazi na sio miujiza. Unataka muujiza wa kuombewa nguvu za kiume? Uharibu nguvu za kiume mwenyewe kwa kutokuzingatia afya ya kula halafu utake muujiza?
Kwa wale wanaojua ulokole wa zamani, enzi Moses Kulola (RIP) akiwa kijana. Kipindi hicho ungemjua mlokole kwa mavazi yake. Shati unakuta ukosi umechakaa vibaya na nguo zao ni za kishamba kishamba, hata hawana za kubadilisha. Mchungaji anakuja kuhubiri kwenye mkutano kwa daladala. Halafu uende kanisa la kilokole umkute msichana mrembo amevaa na kujipodoa ki-sexy sexy kama sasa? Thubutu! Kweli mambo yamebadilika.Kinachonishangaza ukienda makanisani siku ya jpili unakuta ndinga za maana zimepaki au wanakodi?
OK sawa iko hivi hayo makanisa ya manabii na mitume yako machache sana.. Wana matawi pembezoni mwa miji lakini lile kubwa ndio wakubwa wengi huenda kumfuata mtume/nabii kwakuwa ni zaidi ya ibadaHapana sisali kwa mwamposa mm ni muislam
Sipingani na hoja yako ila najiulizaga tu kwanini hawa watu wanaosali kwa mitume feki somehow wanakuwa na life standard nzuri haliyakuwa tunaona wazi kuwa wanatapeliwa! Na ukienda kwenye mihadhara yao hukosi kukuta ndinga za maana
Kingine makanisa mengi siku hizi hasa haya ya kiprotestant yanahubiri profitism ya miujiza na sadaka lakini pia ndinga nje hazikosi tena nyingi na kali tu why?
Hao wenye ndinga ni bango la kuwavuta wengine! Kuna watu wanaenda kwenye hayo makanisa kwa malipo sio bureSasa utapeli upo wapi hapo na hilo ndio swali langu
Yani mtu atafanywaje masikini kwa kutapeliwa na utapeli wa miujiza na maji ya upako halafu amiliki ndinga inakuwaje!