• Hatuwezi kuwa Matajiri kwa sababu Africa akili hamna
• congo, utajiri upo ardhini lakini siunaona wanavyo pelekeana moto, ( rangi nyeusi kwa nyeusi, wamekuwa vibaraka wa mzungu, ni tosha kabisa kusema Africa akili hamna)
• Aman gani dini imeleta! kwani kabla ya Dini, amani haikuwepo???
• Hao wazungu na waarabu walijuaje kuwa Africa hakuna Amani.??