DSpecial
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 482
- 161
Kwanza hongera kwa kuwa na Boy,
wengine hata hatuna.
Mbona inaonekana kama unahitaji mtu vile, au nitakuwa nimekosea........ila samahani kama nitakuwa nimekuudhi
Kwanza hongera kwa kuwa na Boy,
wengine hata hatuna.
Pole xana but ucjali ndo umeambiwa utamwacha baba yako na mama yako ucjali kuhusu dini tanzania hakuna udini wote tunamwabudu Mungu mmoja zidisha maombi ntafanikiwa 100%-)
hellow,me ni new member jaman naomben ushaur wenu,me ni gal na nnaishi na boy ila hatujafunga ndoa nampenda sana na yeye ananipenda pia bt problem ni din ze2 me ni mkristo tena mlokole na yeye ni muislam hamna aliyetayari kubadili dini nampenda kuachana tumeshindwa na ameshanitambulisha adi kwao,pia anahofia tofauti ya elimu zetu kwan yeye ata la saba hajamaliza na mimi nipo chuo kikuu pia hali zetu za maisha ni tofauti ila pamoja na ayo yote nampenda sana na nimetumia fedha zangu nyingi 2 ili kumuwezesha
Luhga yako inatia kinyaa....
xo ndo nini..?
hellow,me ni new member jaman naomben ushaur wenu,me ni gal na nnaishi na boy ila hatujafunga ndoa nampenda sana na yeye ananipenda pia bt problem ni din ze2 me ni mkristo tena mlokole na yeye ni muislam hamna aliyetayari kubadili dini nampenda kuachana tumeshindwa na ameshanitambulisha adi kwao,pia anahofia tofauti ya elimu zetu kwan yeye ata la saba hajamaliza na mimi nipo chuo kikuu pia hali zetu za maisha ni tofauti ila pamoja na ayo yote nampenda sana na nimetumia fedha zangu nyingi 2 ili kumuwezesha
mie mwanafunzi wa chuo kikuu veta, unasoma course gani "jografiya"em tizama unavyojikoroga mwenyewe.hapo kwenye red.. uko chuo kikuu kipi?????
samahani mkuu ww ni afande?Haya mambo ya dini siyaerewi. kuna swahiba wangu nae wazazi wa kike hawa taki binti abadiri dini, na wakiume nao wanasema kama anaoa hivyohivyo basi atakua kaorewa nasio kaowa.
Swts umesema ambayo nami nilitaka kusema. bt ngoja niongezee kiduchu.
Mtoa mada umesema we ni mlokole, sasa umewezaje kuishi na mwanaume bila kufunga ndoa, ulokole wako utakuwa jina tu na sio matendo. pili kuhusu dini kama kila mmoja ataridhia mwenzie kubaki na dini yake its ok cha muhimu kila mmoja aheshimu imani ya mwenzie. kuhusu elimu kama una uwezo wa kumsomesha naye akawa willing kusoma its better akasoma kwani elimu haina mwisho. . .
samahani mkuu ww ni afande?
mydear huyu mlokole, pastor ake,arudi chuo..mwanakondoo wake wa practicle anamlet down
pamoja na tofauti zenu zote, cha msingi ni kuwa una upendo wa dhati? Then uko tayari awe mwenzi wako wa ndoa? Kama yote ndio. Suala la elimu halina shida coz huolewi na madarasa bali mtu, then suala la dini linajadilika usjal!
Naamini humpendi hivyo kama unavyotueleza kwani ungelikwishavivuka vikwazo vyote hivyo. Nionavyo mimi uhusiano wenu ni mahusiano ya "convinience" yaani huyo mtoto anajichunia nawe unapata damu changa.
Usijali dadaangu hapo hamuhitaji ndowa bali muendelee kutumikana mpaka mmoja apoteze sababu za mahusiano yenu.
Natami mno kukwambia achana nae fasta
but najizuia
love is blind
mie mwanafunzi wa chuo kikuu veta, unasoma course gani "jografiya"
mie mwenyewe nimechezwa na machale hapa, au ndo product za st. kayumba?
Kama ni hivyo fanya maamuzi magumu ya kuachana na huyo kijana, utapata taabu baadae.jaman mbona mwani elewa vibaya nimesema nimemwambia m2 m1 apo familia ni ya kilokole issue ni kwamba hatuelewi 2fanyaje coz kwao hawatak mwanamke mkristo (na mimi ckotayar kubadili dini).pia kwe2 wanasema mwanaume gani hana elimu,pia ni muislam xo tayar 2naishi wote kitambo na wazazi 2mewajulisha ivi karibun ndo wanazingua .hope nw umenixoma mkubwa