dini,elimu,vinatukwamisha...

dini,elimu,vinatukwamisha...

Natami mno kukwambia achana nae fasta
but najizuia
love is blind
 
Never dated a partiner from different religion/denomination.
Hapo kwa kweli tumia akili zako na zakuambiws

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Pole xana but ucjali ndo umeambiwa utamwacha baba yako na mama yako ucjali kuhusu dini tanzania hakuna udini wote tunamwabudu Mungu mmoja zidisha maombi ntafanikiwa 100%-)

Alas! Nani kakwambia!
 
Haya mambo ya dini siyaerewi. kuna swahiba wangu nae wazazi wa kike hawa taki binti abadiri dini, na wakiume nao wanasema kama anaoa hivyohivyo basi atakua kaorewa nasio kaowa.
 
hellow,me ni new member jaman naomben ushaur wenu,me ni gal na nnaishi na boy ila hatujafunga ndoa nampenda sana na yeye ananipenda pia bt problem ni din ze2 me ni mkristo tena mlokole na yeye ni muislam hamna aliyetayari kubadili dini nampenda kuachana tumeshindwa na ameshanitambulisha adi kwao,pia anahofia tofauti ya elimu zetu kwan yeye ata la saba hajamaliza na mimi nipo chuo kikuu pia hali zetu za maisha ni tofauti ila pamoja na ayo yote nampenda sana na nimetumia fedha zangu nyingi 2 ili kumuwezesha

pamoja na tofauti zenu zote, cha msingi ni kuwa una upendo wa dhati? Then uko tayari awe mwenzi wako wa ndoa? Kama yote ndio. Suala la elimu halina shida coz huolewi na madarasa bali mtu, then suala la dini linajadilika usjal!
 
hellow,me ni new member jaman naomben ushaur wenu,me ni gal na nnaishi na boy ila hatujafunga ndoa nampenda sana na yeye ananipenda pia bt problem ni din ze2 me ni mkristo tena mlokole na yeye ni muislam hamna aliyetayari kubadili dini nampenda kuachana tumeshindwa na ameshanitambulisha adi kwao,pia anahofia tofauti ya elimu zetu kwan yeye ata la saba hajamaliza na mimi nipo chuo kikuu pia hali zetu za maisha ni tofauti ila pamoja na ayo yote nampenda sana na nimetumia fedha zangu nyingi 2 ili kumuwezesha

Naamini humpendi hivyo kama unavyotueleza kwani ungelikwishavivuka vikwazo vyote hivyo. Nionavyo mimi uhusiano wenu ni mahusiano ya "convinience" yaani huyo mtoto anajichunia nawe unapata damu changa.
Usijali dadaangu hapo hamuhitaji ndowa bali muendelee kutumikana mpaka mmoja apoteze sababu za mahusiano yenu.
 
em tizama unavyojikoroga mwenyewe.hapo kwenye red.. uko chuo kikuu kipi?????
mie mwanafunzi wa chuo kikuu veta, unasoma course gani "jografiya"

mie mwenyewe nimechezwa na machale hapa, au ndo product za st. kayumba?
 
Haya mambo ya dini siyaerewi. kuna swahiba wangu nae wazazi wa kike hawa taki binti abadiri dini, na wakiume nao wanasema kama anaoa hivyohivyo basi atakua kaorewa nasio kaowa.
samahani mkuu ww ni afande?
 
Swts umesema ambayo nami nilitaka kusema. bt ngoja niongezee kiduchu.
Mtoa mada umesema we ni mlokole, sasa umewezaje kuishi na mwanaume bila kufunga ndoa, ulokole wako utakuwa jina tu na sio matendo. pili kuhusu dini kama kila mmoja ataridhia mwenzie kubaki na dini yake its ok cha muhimu kila mmoja aheshimu imani ya mwenzie. kuhusu elimu kama una uwezo wa kumsomesha naye akawa willing kusoma its better akasoma kwani elimu haina mwisho. . .

mydear huyu mlokole, pastor ake,arudi chuo..mwanakondoo wake wa practicle anamlet down
 
Last edited by a moderator:
samahani mkuu ww ni afande?

hahahahahahaahahah...jamaan jf raha..siku yangu nlikuwa siielewi elewi,.but with this comment,nmejikuta mpya tena! Unakuta mtu anasema rara,au tamthiriya..teh teh
 
pamoja na tofauti zenu zote, cha msingi ni kuwa una upendo wa dhati? Then uko tayari awe mwenzi wako wa ndoa? Kama yote ndio. Suala la elimu halina shida coz huolewi na madarasa bali mtu, then suala la dini linajadilika usjal!

thanx dia
 
Naamini humpendi hivyo kama unavyotueleza kwani ungelikwishavivuka vikwazo vyote hivyo. Nionavyo mimi uhusiano wenu ni mahusiano ya "convinience" yaani huyo mtoto anajichunia nawe unapata damu changa.
Usijali dadaangu hapo hamuhitaji ndowa bali muendelee kutumikana mpaka mmoja apoteze sababu za mahusiano yenu.

kama nakuelewa afu kama ckuelewi
 
Tofauti ya elimu kati yenu ni kubwa sana, hiyo inaweza kuja kuleta matatizo mbele ya safari. Kwa sasa kwa kuwa mapenzi ni motomoto unaweza usione kuwa ni tatizo, lakini kwa uzoefu nilionao itawaletea shida mbele ya safari. Ujue kuwa mwanaume ni kiongozi katika familia. sasa kutokana na elimu yako ni wazi kuwa kutakuwa na mambo mengi unayojuwa kumpita yeye, na wakati mwingine akafanya makosa ambayo hutajizuia kumkosoa na yeye akachukulia kuwa unamnyanyasa kutokana na elimu yako, na hivyo kuleta mizozo. Hakuna mwanaume ambaye angependa mke wake awe juu yake (awe kiongozi). Huo ndio ukweli achana na porojo za wanaosema kuwa mwanamume na mwanamke wako sawa (wanaweza wakawa sawa lakini si sawasawa).

Pricesitor kwanini unataka kumwacha Yesu? Nakushauri ufikiri upya kabla hujachukua uamuzi ambao utakuja kuujutia milele. Kumbuka Yesu ndiye njia pekee ya kupitia kwenda mbinguni. Soma Matendo 4:12 ,. Mungu akubariki
 
jaman mbona mwani elewa vibaya nimesema nimemwambia m2 m1 apo familia ni ya kilokole issue ni kwamba hatuelewi 2fanyaje coz kwao hawatak mwanamke mkristo (na mimi ckotayar kubadili dini).pia kwe2 wanasema mwanaume gani hana elimu,pia ni muislam xo tayar 2naishi wote kitambo na wazazi 2mewajulisha ivi karibun ndo wanazingua .hope nw umenixoma mkubwa
Kama ni hivyo fanya maamuzi magumu ya kuachana na huyo kijana, utapata taabu baadae.
 
Back
Top Bottom