Dingi kauzu!

dudupori

JF-Expert Member
Jan 6, 2012
1,793
1,903
MTOTO: Baba ntumie hela ya matumizi huku shuleni hali ni mbaya la sivyo ntajinyonga.
BABA: Huku nyumbani hali ni mbaya kuliko huko shule, kwa hiyo kama unajinyonga sawa tu sababu utapunguza bajeti, kopa kamba dukani nitakuja kulipa nitakapokuja kuchukua mwili. Mungu akulaze mahala pema peponi.
 
MTOTO: Baba ntumie hela ya matumizi huku shuleni hali ni mbaya la sivyo ntajinyonga.
BABA: Huku nyumbani hali ni mbaya kuliko huko shule, kwa hiyo kama unajinyonga sawa tu sababu utapunguza bajeti, kopa kamba dukani nitakuja kulipa nitakapokuja kuchukua mwili. Mungu akulaze mahala pema peponi.

ha!ha ha ha ha ha ha ha ha a a a a!!!mbavu sina
 
WARNING:kucheka kwa nguvu sana ni hatari kwa afya yako,smile au cheka kwa poz kila utakapofurahi,KUNUNAA HAIKUBALIKIIIIIIIIIIIIII
 
kwa vile natumia kasimu ka mchina vinginevyo ningekugongea bonge la like!
 
Back
Top Bottom