Dina Marios vs Reuben Ndege LIVE

wanaishi kwa umbea
wanalala kwa umbea
wanakula kwa umbea
wanakunya kwa umbea
wanasutwa kwa umbea
wanapigwa kwa umbea
ndoto zao ni umbea
ni uzao wa umbea
ni laana za umbea
kila kitu umbea

wakiacha watakufa:bored:

khekhekehehheeee hehehe ekekeeeheheheeee, hihiiiii hiiiiii

Wanaota ndoto za kimbea,
Matokeo yake tunakuntywa kikombe cha kimbeambea.
 
hongereni sana dina na reuben..wote nawapenda sana..dina ni wife material
 
Samahani wakubwa eti hapa panaitwaje?? Naomba mnionyeshe njia ya kwenda nyumbani:help:
 
Huu udaku,, ila pale malijali wachache ukihesabu , chap chap malijali labda Wanaume kama mabiti aka Gardner Habash, E. Kibonde. G.Hando. P .James, and R. Ndege, wengine wote walio baki dah kuna mashaka makubwa .
 
Its trueeeee...........and zat aeroplane oops sorry zat bird has already preginanted her...........so she will be missing 4 a couple of month, until she opens herself.
 
Leo tena itapwaya sana......gea habib nae mjamzito mda si mrefu wote watakua likizo ya uzazi...
 
wanaishi kwa umbea
wanalala kwa umbea
wanakula kwa umbea
wanakunya kwa umbea
wanasutwa kwa umbea
wanapigwa kwa umbea
ndoto zao ni umbea
ni uzao wa umbea
ni laana za umbea
kila kitu umbea

wakiacha watakufa:bored:

khekhekehehheeee hehehe ekekeeeheheheeee, hihiiiii hiiiiii

Yeah! Is it possible in this forum?
image.jpg
 
Iyo clouds media ni love connect,Ruge alizaa na Mketema,haya Uyo Dina na Reuben. Wanagegedana wenyewe kwa wenyewe.
 
Iyo clouds media ni love connect,Ruge alizaa na Mketema,haya Uyo Dina na Reuben. Wanagegedana wenyewe kwa wenyewe.
Nadhani ni kawaida tu..........ndio maana pia wake za madokta ni manesi kwa asilimia kubwa.........
 
Back
Top Bottom