Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,546
- 830,112
- Thread starter
- #61
Mkuu ni protokali za kawaida, maana migodi mingi walanguzi wameacha mashimo tu.![]()
CC : Khantwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ni protokali za kawaida, maana migodi mingi walanguzi wameacha mashimo tu.![]()
Ahsante pacha. Nakaribia tuimalizie mumy.Kwema twinnie,karibu tumalizie weekend..
Huyo achana naye anasemea mapengo.tofautisha mwanya na pengo mkuu
Mmhhni ulemavu tena ni wakuziba......
Kabisa mumy. Uwe na siku njema.Kwa raha zetuu..![]()
![]()
kama binti yangu japo bado mdogo ila nimeshaanza kuimarisha ulinzi nyumbani.Sasa kuna wenye full kombinesheni...ana dimples na mwanya!
ndioUnataka kuwekeza ?
Kho khoUmesahau dimples za makalio nazo ngumu sana kufake
ShikamooSasa kuna wenye full kombinesheni...ana dimples na mwanya!
Teh teh teh naona yaliyomo yamoooo....Kho kho
Hivi zile zinamaanisha niniTeh teh teh naona yaliyomo yamoooo....
Zina nini tena jaman mkuuHizi avater zako hizi![]()
![]()
![]()
![]()
Hivi zile zinamaanisha nini
Same same mamie...santeeKabisa mumy. Uwe na siku njema.