Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,117
- 122,521
Kwema kabisa mumy. Niko mstari wa mbele kuzipokea sifa zetu ili zisiende bure.Kwema mpenzi??
Mana tuwe tu wa kweli tuliojaliwa hivi vitu tunahesabika aisee.

Unaendeleaje nawewe?
Kwema kabisa mumy. Niko mstari wa mbele kuzipokea sifa zetu ili zisiende bure.Kwema mpenzi??

Hahaaa. Umenichekesha pacha ila using'oe bana.
Hujamsikia mshana kasema kuna vitu havichakachuliki. Ila weekend hii tunaimaliza kwa kusifiwa lol.
MiamiaSasa kuna wenye full kombinesheni...ana dimples na mwanya!
Usiogope mtoto mzuri izo ni hatua za kawaida kabisa ktk usahiri, vipi tuendelee

Umeonaeee. Kwema lakini pacha?Hahahahh
Yaani hii wiki wametupumzisha kashfa
Kwakweli. Rasilimali adimu...Kwema kabisa mumy. Niko mstari wa mbele kuzipokea sifa zetu ili zisiende bure.
Mana tuwe tu wa kweli tuliojaliwa hivi vitu tunahesabika aisee.![]()
Unaendeleaje nawewe?
utakuwa nazo wewe.Dimples oyeeeeeee!😛😛

Kwema twinnie,karibu tumalizie weekend..Umeonaeee. Kwema lakini pacha?
Mkuu ni protokali za kawaida, maana migodi mingi walanguzi wameacha mashimo tu.

Nazikosaje sasa😉utakuwa nazo wewe.
Kama ulikuwepo kichwani kwangu na wenye wivu hawakwepeki hao mumy.Kwakweli. Rasilimali adimu...
Wenye wivu watakuja waseme ni kilema.
wewe ni mwanya au dimpoz?Tuombe msamaha Mkuu umetukosea.
Kwa raha zetuu..Kama ulikuwepo kichwani kwangu na wenye wivu hawakwepeki hao mumy.
Hata wakisema ni kilema haisaidii wacha tujivunie tu kwa kweli.

tofautisha mwanya na pengo mkuumwanya ni tatizo katika mpangilio wa meno......kwa kawaida no spacing kati ya jino na jino
Unataka kuwekeza ?wewe ni mwanya au dimpoz?
ni ulemavu tena ni wakuziba......
tofautisha mwanya na pengo mkuu