Heeee siku hizi mambo haya yakoje jamani?Mmejuana ndani ya miezi 3 umeishamvulia c.h.u.p!!Enzi zetu ulikuwa unasota zaidi ya mwaka ndo uipate papuchi!
Inawezekana mwenzio ni tatizo la kisaikolojia linamsumbua,inawezekana alitegemea mkae walau miezi 6 hivi ya kufahamiana ndo muanze kumegana,lakini mwenzetu siku ya kwanza tu inaonekana ukataka ugegeduliwe!Kwa hiyo mnapokuwa kwenye gemu,mawazo hayo yanamuijia kuwa labda wewe ni maharage ya Mbeya,hapo mashine lazima ilale!Mchukulie taratibu,siku ya mechi mpikie chakula kizuri,then take it easy sio umuonyeshe kama unataka kushindana,mpe matumaini,raundi ya kwanza mpe juisi then fanya kazi msaidie kuisimamisha mashine,piga mzigo!Kwa mwanamke anayejua kazi yake vizuri mashine ya mwanaume haiwezi kupiga usingizi,itapiga kazi mpaka itatoa povu!Uwezo wako wa kuhamasisha ni mdogo,uboreshe.
Samahani lakini ehee!