Dilemma!!!

Jiangalie kwanza wewe inawezekana kuna vitu vinamkera akichomeka....., vitu kama usafi muhim wakat wa gem, and the like...
 
Nimependa vitu kadhaa kutoka kwa mtoa mada.tafadhali naomba nivitaje.
Firstly mtoa mada is faithful to his man,mtoa mada is a family woman/wife material.
Back to topic.
Pengine ni matatizo ya masturbation na porne(pengine)
anachoweza kufanya mpe vyakula vilivyojaa protein kwa wingi eg karanga,korosho,etc pia afanye mazoezi aongeze pumzi na stamina,fanya hivyo then leta feedback!fanya the needful mdada,dont give on your man dont give up on love at least not yet!
 
Mi kama nampenda jamani nang'ang'ana nae mpaka nijue mwisho wake.
Tusikimbilie kumhukumu eti picha za X etc.
Sisi ni wanawake bwana, we are proactive.We change situations, wapi tende shake. Mtengezee mupenzi, anzeni exercise.... try to make it work.
 
Tanzania na Kenya nani mshindi leo jamani? Aaaaaaah, sorry, pole mdada!
 
Unavijua vidumu vya lita tano?????????
Chukua kimoja basi eeeenh!!!!!!!! kikisimania vizuri show hama nacho kabisa.
 
Heeee siku hizi mambo haya yakoje jamani?Mmejuana ndani ya miezi 3 umeishamvulia c.h.u.p!!Enzi zetu ulikuwa unasota zaidi ya mwaka ndo uipate papuchi!
Inawezekana mwenzio ni tatizo la kisaikolojia linamsumbua,inawezekana alitegemea mkae walau miezi 6 hivi ya kufahamiana ndo muanze kumegana,lakini mwenzetu siku ya kwanza tu inaonekana ukataka ugegeduliwe!Kwa hiyo mnapokuwa kwenye gemu,mawazo hayo yanamuijia kuwa labda wewe ni maharage ya Mbeya,hapo mashine lazima ilale!Mchukulie taratibu,siku ya mechi mpikie chakula kizuri,then take it easy sio umuonyeshe kama unataka kushindana,mpe matumaini,raundi ya kwanza mpe juisi then fanya kazi msaidie kuisimamisha mashine,piga mzigo!Kwa mwanamke anayejua kazi yake vizuri mashine ya mwanaume haiwezi kupiga usingizi,itapiga kazi mpaka itatoa povu!Uwezo wako wa kuhamasisha ni mdogo,uboreshe.

Samahani lakini ehee!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom