pengine hujaelewa, au pengine jina la secure folder limekuchanganya.
myknox au secure folder sio folder
ambalo limelokiwa na password bali ni space yako private kwa kiswahili rahisi ni simu ndani ya simu.
mfano unaweza ukawa na whatsapp mbili moja ikakaa ndani ya myknox na nyengine ikawa ya kawaida, almsot app zote unaweza ukawa nazo mara mbili.
huawei safe ni folder lock la kawaida au kama app za vault ambazo zinaficha vitu vya media visionekane, unaweza eka app separate kwenye safe?