Gaga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,558
- 1,968
Tunakubali nyerere alikuwa iongozi shupavu na ameitoa nchi mbali na mpaka hapa tulipo bado twaendelea kumshukuru, ila kuna mambo mengi sana katurostisha, ametuchelewesha sana kutufungua macho kujua yanayojiri duniani,ona wenzetu Kenya na Uganda,,,kwa hili tu, ndio naona kuna mahala alikosea