Heshima yako jamvini inapungua. Wabunge wetu tumewatuma wakatuwakilishe, watujengee hoja hai zitakazo tuletea maendeleo. Sisi hatukuwatuma wakajadili marehemu.Wakifanya hivyo watakuwa wameenda bungeni kupiga majungu, kazi ambayo hatukuwatuma. Watakuwa wamejiwakilisha wao binafsi na si wananchiof course kwa sababu mashambulizi dhidi yake yanakuja; subiri tu huko Bungeni na kwenye majukwaa yao. Si unajua madikteta wanavyochukiwa..
ngoja wahusika wakusikie
Labda kama Obama angekuwa kenya Kikwete naye angekuwa anaenda Kenya!? I am sure! Maana kama alienda kubembea Cuba!
I am not sure if we can handle the truth about the past here. Nyerere and other African leaders were in very very weak positions. I personally think the US was constantly lobbying Tanzania to align with them while at the same time USSR was also doing the same. The point here is this Nyerere was not perfect and I know I will get a smack on this but Nyerere really live up on those principles he believed. Again, Nyerere yes he round up a lot of oppositions and especially people who he didn't agree with, but the most damaging things today is life after Nyerere has been terrible and worse. What I am trying to point out is this Nyerere had a great opportunity to build strong democratic institutions and prepare the country for future generations. Nyerere did failed in so many ways and if we look for things like constitution, we are at a point of spilling over. The justice system is a total mess and we are suffering so much mainly due to Nyerere principles, what we have and what ccm is trying to follow is principle of fear and power hijack.
The question is Je Nyerere angepewa nafasi ya kuongea leo, angesema nini juu ya uongozi wake?
In closing, I just want to say that Nyerere was a 'nation builder' and he did some work to his credit tribalism and religion divisions in large part he was able to cover them up with his fear politics. The other thing we as Tanzanians need to remember Nyerere did contribute in liberation and freedom in other African countries i.e. Zimbabwe and the free of Mandela. Some in our society couldn't fully enjoy their practice of Islam but we have to understand his perceptions of Islam and non catholic were ignorant.
By the way I still consider Nyerere Great Man compared to trashes we have now.
View attachment 32175
View attachment 32176
View attachment 32177
How many people in Africa has legacy like that or will have legacy similar to this?
Jamani, jamani, jamani.... tukumbuke pia kuwa hiyo ilikuwa 1963!!! Wakati huo ubaguzi wa rangi ulikuwa wa kiwango kikubwa kuliko miaka hii.
Wenye ufinyu hawaoni hayo.... wanasahau nyuma ni msingi na tofali, kuweka stuko na rangi ni matokeo tu
Nyerere laid the foundation, built the pillars and raised all the levels to the rafter .... he was a president kuanzia 1964 - 1985 twenty one fookin' years... and then he left the country to three new presidents who have lead this country for a total of 26 years guys!!!! all these year to roof the house, plumbing, power circulation and furnishing....
JAMANI HII KITU NI VERY FUNNY.... AND ONE PERSON STANDING SOMEWHERE TRYING TO COMPARE HIMSELF WITH NYERERE, HANA ADABU
Nyerere was in teh middle of vita baridi, ukombozi wa africa, transition of Tanzanians mindsets from utumwa to kujitawala etc. the one we have has only one thing, kuondoa umaskini.... and thanks to God, Arabs revolution are even giving him a better platform to perform without interference from the foreign nations
pooooffff
Mkuu, wee sasa naona unaanza kupiga mateke kwenye ulingo wa ndondi !!!! :evil: