Digital Marketing kwa Ajili ya Kuwezesha na Kuwashawishi Wapiga Kura

Digital Marketing kwa Ajili ya Kuwezesha na Kuwashawishi Wapiga Kura

Amba Samedi

Senior Member
Joined
Apr 5, 2024
Posts
193
Reaction score
326
Habari wanaJF,
Natumaini tunaendelea vizuri. Niko salama hapa Morogoro.

Nimeumiza sana kichwa kuwaza namna ya kutumia teknolojia kwa ajili ya kuwasaidia wagombea kuwafikia wapiga kura kwa urahisi. Nlikuwa naomba uzoefu kwa anayefahamu. Nini kifanyike? Unatumia mbinu zipi? Ipi ina smaku/kivutio zaidi.

Naomba kujifunza.
 
Habari wanaJF,
Natumaini tunaendelea vizuri. Niko salama hapa Morogoro.

Nimeumiza sana kichwa kuwaza namna ya kutumia teknolojia kwa ajili ya kuwasaidia wagombea kuwafikia wapiga kura kwa urahisi. Nlikuwa naomba uzoefu kwa anayefahamu. Nini kifanyike? Unatumia mbinu zipi? Ipi ina smaku/kivutio zaidi.

Naomba kujifunza.

Mitandaoni Chadema Ina nguvu Sana
 
Broo tumechuka vichinjio sio kwa ajili ya kupiga kura "NO" Kwa ajili ya kuombea mikopo.
No reform No kwenda kupoteza muda kupanga foleni
 
Back
Top Bottom