Imani yako haba, yaani kwako mtu mwenye hekima na muungwana ni mlokole tu!Sorry,
Wewe ni mlokole??
Wote tungekuwa kama wewe nchi ingeendelea sana, tusingekuwa na mafisadi. Big up
Imagine mtu unaokota hela ya EPA na kuirudisha BoT......HALAFU INAIBWA TENA!
hii kamera inaonekana mwenyewe ni muislamu!
Nope Mimi nimepoteza sehemu nyingine Either City Centre au Kariakoo... ni Key Moja Holder yake na car alarm remote... nilienda Hotel ya The Chief Pride Wakanionesha aina Nyingine ya Funguo.. kama mtu mwngine alipoteza aende pale kuulizia UpoNa wewe ulikuwepo maeneo hayo ya Ubungo siku hiyo?
Kama wewe ndo unayo ipeleke kituo cha police