- Thread starter
- #481
sasa kama unamsilikilza ilikuwaje akakuchiti???????????
eti habanduki wakati keshabanduliwa na vimwana huko nje
hakuna kitu hapo huyo anasoma ramani ya ku-exit
na siku akitoka kwenye hilo shimo hawezi rudi
Vimwana gani kaja kwako? Sa mi ndo namjua haendi kokote nawahakikishia. Sababu naijua mie. Ataondoka siku nikitaka, na hili pia analijua. Wameshindwa wachungaji wa kilokole mtaweza nyie walevi. Mapenzi kitu ingine acheni nyie. Yule kule kakesha muda gani kwenye maombi kamulizeni. Kwa Kakobe na Lusekelo kote kaenda hela zimeliwa zilizobaki ananywea wine.