Can you make some corrections my dear? BTW are you a girl?
Nadhani wasichana hawataipenda hii thread.
Weka na za boys. Manake nahisi mie ni boy kabisaa.
english yako ngumu!
Njoo nkufunze..
mafunzo yatafanyika wapi?saa ngapi?lini?yatachukua muda gani walau nijue cha kuombea maji,natanguliza shukran
I am not girl and not yet a woman.....
unauwezo wa kukojoa wima?weka na za boys. Manake nahisi mie ni boy kabisaa.