akohi
JF-Expert Member
- Jul 13, 2012
- 788
- 524
kuna tembo alivamia kijiji hata alipouliwa alibaki kasimama. si lazima muda wote lakini inatokea. source: mwanakijiji mmoja tukiwa kwenye bus huko moro alikuwa anaeleza (shahidi wa tukio).
Hii inatokea sana porini hasa kwa sie wawindaji.
Unaweza kum shoot munyama kwenye ubongo na akafa pale pale huku kasimama. Hiyo haimaniishi ndo anavyokufa siku zote