Diaspora msijidanganye mwisho wa matumizi ya pass mlizonazo ni 2020

Kwa mazingira aliyojitengenezea yeye na wenzake walio andamana kwenye balozi zetu huko ughaibuni sidhani kama inaweza kuwa rahisi sana kwake kupata huo ushirikiano na taasisi za serikali waliyokuwa wakiikashfu.
Hakika
 
Mpaka arudi Tanzania kwa kupata kitambulisho cha uraia ndo kinawezesha apate passport
Kwani hivyo vitambulisho haviwezi kupatikana kwenye hizo balozi?

Yani nitoke zangu mbele eti nafuata kitambulisho cha uraia TZ?

Si wendawazimu huo
 
Kwa mazingira aliyojitengenezea yeye na wenzake walio andamana kwenye balozi zetu huko ughaibuni sidhani kama inaweza kuwa rahisi sana kwake kupata huo ushirikiano na taasisi za serikali waliyokuwa wakiikashfu.
Unaisemea serikali?IQ yako ni ya chini sana...kuandamana ni kosa??!!
 
Kwani hivyo vitambulisho haviwezi kupatikana kwenye hizo balozi?

Yani nitoke zangu mbele eti nafuata kitambulisho cha uraia TZ?

Si wendawazimu huo
Sasa kwanini uhitaji pass ya Tanzania kama huoni umuhimu wa utambulisho wa Utanzania wako? Si ukae tu huko mbele bila utambulisho wowote.? Nawaonea huruma sana vijana wanaokumbwa na kisuri suri cha kisiasa!

Kama wale walioponzwa na Mange leo hii wakipata shida sijui mentor wao anawasaidiaje..
 
Unaisemea serikali?IQ yako ni ya chini sana...kuandamana ni kosa??!!
Wewe ya kwako iko juu kiasi gani? Kama halikuwa kosa kwanini walizuiliwa?
Mwisho wa siku ni vema ukajua watendaji serikalini ni watu sio mashine hivyo wana hisia kama mimi na wewe..
 
Back
Top Bottom