Mkuu samahani nadhani hapo BBC ndio pamekuamsha munkari. Anyway kazi Ni kazi. Piga kazi hata huku nyumbani sera Ni 'hapa kazi tu'Wewe Ni mpunbavu sana Kwani Tz MTU akifa huwa hachangishani,hapo Tz watu wote mnamiliki nyumba na kujenga Ni uamuzi wa mtu,wahindi,wachina na west African wamezagaa Dunia wanamtafuta maisha cha ajabu Tz tunawakashifu walio nje
Mh kama ni maneno yanayosemwa mara kwa mara m-diaspora anapofariki hebu wa-diaspora wajiangalie... Sio vibaya kujiandaa kama tunavyojiandaa na kuandika urithi (muanze kujiwekea akiba kidogo kidogo kwa ajili ya kusafirishwa/safirisha - just incase)Naunga mkono hoja
Maskini siku zote huwaza aliyejuu aporomoke awe kama yeye amcheke wala hawazi na yeye apande huko huko amfate.
Hakuna haja ya kumsema vibaya marehemu. Waliomsema walikosea sana.Hata kwa aliyefariki?
Wana vyama vyao vya kusaidiana wanapokuwa na matatizoMh kama ni maneno yanayosemwa mara kwa mara m-diaspora anapofariki hebu wa-diaspora wajiangalie... Sio vibaya kujiandaa kama tunavyojiandaa na kuandika urithi (muanze kujiwekea akiba kidogo kidogo kwa ajili ya kusafirishwa/safirisha - just incase)
[emoji23][emoji23][emoji23]ndugu a.k.a MimiMrs kama Mrs!
Kuna fukara fulani anaitwa witnessj hebu msome comments zake. Sijui kama si mchawi. Kuna connection kubwa kati ya chuki na umasikini.Naunga mkono hoja
Maskini siku zote huwaza aliyejuu aporomoke awe kama yeye amcheke wala hawazi na yeye apande huko huko amfate.
Hata wewe una wivu na husuda sana!!Suluhisho, msiruhusu watu wasio na uhusiano na marehemu kuhudhuria mazishi, iwe kama harusi ambaye hajaalikwa asije, kwani atakayekuja ni yule tu ambaye atakuwa ameguswa, na siyo kila takataka matokeo yake ndiyo hayo.
Nakubaliana na wewe 100%Maneno ya maskini hayo
Maskini wa roho wana roho mbaya ya asili
Ohoo Ahsante Mkuu kwa kunijuza hili.Wana vyama vyao vya kusaidiana wanapokuwa na matatizo
Lakini chadema wanampenda Lissu.Wana madharau sana diaspora siwapendi