Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 10,860
- 20,032
Mjinga wewe ,We mpumbavu danganya wapumbavu wenzako!! Show ya South Sudan haikuwa ya Harmonize, bali yeye alikuwa ni mmoja tu kati ya watumbuizaji wengine including Chameleon na Weasley!! Jose Chameleon huyu hapa akiwasili S. Sudan:-
Yaani unachosema wewe ni sawa na leo hii aibuke mpumbavu wa aina yako halafu aseme Diamond alijaza watu kwenye show ya One Africa Fest! Hivi una akili kweli wewe pamoja na kupenda kutukana wenzako?!
Angalia ulivyo mpumbavu!! Huyo Harmonize mwenyewe unayemuona kama Mungu Mtu kazaliwa kwa walima mihogo!! Hivi una akili kweli wewe??! Na mara kwa mara hapa hata bila kuulizwa lazima useme kwamba upo Wasafi?! Ulivyo mpumbavu unasahau kwamba huyo Diamond mwenyewe katokea Tandale, Babu Tale Manzese, Sallam Morogoro, na Said Fella nipo nae kitambo tangia enzi za Rungwe Highway!!!Angalia unavyothibitisha ujinga wako!! Mwaka 2015 Diamond alikuwa underground?!! All in all, kupata show ya Fiesta kama underground ndo kwamba ametolewa na Ruge?! We jamaa lofa sijapata kuona!!
Kwa taarifa yako hata aliyemtoa huyo Mungu wako Harmonize nae ni mtu wa Tandale!!!
We lazima utakuwa mke mwenza wa Sarah, manake unavyojifanya kumfahamu Harmonize unamzidi hata Sarah mwenyewe. Halafu ona ulivyo Pimbi! Upande mmoja unasema Harmonize ananyonywa kishenzi halafu hapo hapo unatuambia jamaa ana mihela kishenzi hadi anafikia kumkopesha mnyonyaji wake Sh. 200M wakati Harmo mwenyewe kaanza muziki juzi tu hapa!! Au hizo 200M alizofikia kumkopesha Mnyonyaji wake zimetokana na biashara kuuza chai Kariakoo?! Sio tu nimezaliwa dar bali pia naifahamu game tangia kitambo kabla hata huyo Harmonize mwenyewe haijui hata Mtwara let alone Dar!! NIpo kwenye haya mambo hata kabla huyo Diamond mwenyewe hajatengeneza hata single moja!! Tafuta wapori pori wenzako ndo uwaletee hizo story ambazo huwezi kujenga hoja hadi utukane na ulivyo pimbi, ukidhani matusi yanauzwa
Huyo Sallam Mimi nimekua nae mtaa Wa Forest morogoro (nimecheza nae chandimu mitaa ya forest hill , Osterbay ya morogoro ) wakati wewe unaishi Uswekeni Tandale au Magomeni .... Mbwa wewe...
Sasa turudi kwenye show ya harmonize ... Hiyo show ya Juba ilikuwa ni ya harmonize na ulikuwa ni mualiko kutoka kwa raisi Salva Kiir , sijui hata kama unamjua .. Utamjulia wapi umeishia darasa la saba B pale Maramba mawili shule ya msingi ..
Na kwa taarifa yako uwepo Wa harmonize ndio ulifanya hiyo show ifanyike kuanzia jion kutokana na umati kuwa Mkubwa wakitaka kumuona harmonize.. Watu Wa usalama wakataka show iwe jion ..
Mwisho Wa siku napoteza muda na mbwa ambae hajui lolote zaidi ya kubweka tu , hao wcb tunawajua in out sio kwa kuwaona IG Bali tunakutana nao kwenye some issues ...
Halafu wewe mpumbavu nimekupa assignment moja nenda pale clouds kaulize fiesta ya 2005 diamond hakupanda Kama underground yeye na sheta pale Viwanja vya posta, kijitonyama. Ukute enzi hizo ulikuwa huna hata nauli ya kutoka kwenue Uswekeni kwenda kijitonyama.. Shwain wewe.
Ndio maana nakuona mpuuzi sana unashangaa million 200 za uwekezaji za harmonize!!!../ nikikwambia vifaa na Bei zake alivyonunua harmonize kwenye kampuni ya Zoom Production chini ya Director Keny utabaki unatoa macho kama nyoka ....
Huna unalojua pumbavu wewe