njiwa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 12,369
- 5,514
Big up sana Platnumz,endelea kuwakimbiza...watabaki stk stk....stk my a$$!!!...
Unapiga mademu wa ukweli.....walisema opa opa sasa unasukuma Prado.....ata siku ukianika mjengo watakuja na la kusema tu....sunajua wana stress za maisha mnyamwezi..wengi shule kuuubwa lakini mpaka kesho akijaeleweka....wengine wamepiga boks mpaka wamekomaa sura bado hawajatimiza ndoto....we kiulaiiiini mtoto wa tandale mbona watakutaka!!!
Ebu wasepe uko na stress zao za kwa muhindi..
hehehe! kuna ukweli ndani yake!! alafu haters kibao ndani ya hii thread