MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,259
LadyJaydee alisikia hii kauli?
Wapi?.Mimi naishi South Africa mkuu najua Mond kaingizwa cha kike Nillan wa Ivanwewe ulikuwepo?
Huyo Nillan sio mtoto wa Diamond ni mtoto wa marehemu Ivan
Aibu kubwa huu ndio mwisho wa Zari kuja TzDia amechanganyikiwa Nillan sio mwanae .....mwenyewe anakula viporo tu au kamla nani?
Zoa zoa tu walikopita wenzake yeye ndio anaenda kujipiga kifua ...sawa na Bashite tu....hana mbegu!
huwa nashangaa hii ndoa ilifungwa liniWamefunga ndoa lini